hahahha hana tofauti na viongozi wa kiafrika kungangania madaraka kwa muda mrefu vip km angekuwa raisi wa nchi(mbowe) kwa hiki pnd cha katiba mpya nazani angendekeza raisi awe na vipnd vya kuongoza miaka kumi na tano
Nilikuwa namsikiliza huyu kijana mwenzangu Humphrey Polepole aliyekuwa mjumbe wa tume ya katiba, kiukweli huyu kijana kailezea vema sana maoni ya wananchi ya katiba hasa serikali tatu.
Pia namuona ana mvuto wa kisiasa sijui kwanini bado yupo shimoni kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.