Asante sana mkuu.. yaani kila kitu ulichoongea nakiona kinafanana na maisha tulonayo..sijui nifanyeje maana tumeishi miaka mitano na tayari tuna watoto wawili wazuri kwelikweli. Hatujafunga ndoa kila tukipanga linatokea jambo la kuahirisha. Sijui nifanyeje
Mramba hatakaa jela muda mrefu,mtaona anapata msamaha mwezi 12 au wa 4 mwakani! Kesi ya biliones of hela mtu anafungwa miaka 3 na kifaini cha milioni5.. Hii ndo Tz jamani. Nchi nyingine nadhani wangeozea jela
Ninayo van, engine 3L naitumia mwenyewe, namba ni A imetembea km 142,670, Rangi iliyokuja nayo, sijaweka siti. Ni manual transmition..Kama vipi tufanye biashara
Habari zenu wandugu..mimi nimefungua kashughuli ka duka la reja reja. kwa kua nimekua ni mtu wa kutoka mara kwa mara nataka niajiri mtu kwa mkataba mdogo ili walau niweke mazingira ya ulinzi wa haka kaduka. Mwenye kuelewa naomba anisaidie japo hata kwa mfano mdogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.