Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Dodoma

Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Dodoma

Kiwanja bado kipo na sasa bei ya kuuzia ni 4M
Mkuu kiwanja kipo sehemu gani exactly, ni ile njia ya mkato toka kisasa kutokea relini kutokea pale juu kidogo ya makulu kama unaenda udom ama??

am interested, ila kabei kidogo karefu mkuu!! Lakini hebu nipe majibu ya swali langu.
 
Kiwanja kipo baada ya kuvuka reli kama unatoka Kisasa ukiwa unaelekea UDOM. Bei ni 4M fixed.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom