Recent content by KANE Ring Master

  1. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Je, wajua kuwa binadamu anaweza akafa akiwa mwanaume ila katika re birth akawa mwanamke?

    Si ndio ukifa unakuwa mifupa, inaoza unakuwa vumbi
  2. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufungua simu uliyosahau password

    Asante kwa maarifa,
  3. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Ndy, ninefuata muongozo wa wachangiaji kweli tatizo limekwisha.
  4. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Imekubali, asante
  5. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Mwanzo haikuwa hivyo, hali hii ina kama wiki moja sasa. Ndo nikaona sio kawaida ngoja niombe msaada.
  6. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Imekuwa sawa, shukrani.
  7. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Batan ya off/on ?
  8. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa simu kutoweka

    Wakuu habari zenu....,! Simu yangu wakati nikimpigia mtu, mwanga hutoweka. Nilianza kuhisi labda shida ni protector lakini nilitoa na tatizo lipo palepale . Hii inaleta changamoto maana nashindwa kuweka loudspeaker. Kama kuna mtu ana idea ya nini nifanye naomba anisaidie.
  9. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Anayejua historia ya hawa jamaa Ku klux clan

    Lilikuwa ni genge ila lilitumika kisiasa zaidi, yaan serikali ilitoa sapoti japo hadharani ilijifanya kulikemea. Walikuwa wanapambana na 1; ukomunist 2;watu weusi 3; ukatoliki ( hasa watu kutoka Ireland)
  10. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Ijue historia ya Wahaya wa Kiziba ''Wenye Kagera Yao''

    Mkama alikuwa anamiliki ardhi,watu na mifugo sababu kipindi hicho maeneo hayo kulikuwa na UKABAILA (feudalism) kama mfumo wa maisha. Ila utumwa umeletwa na waarabu baada kufungua mawasiliano kati ya pwani na huku bara. Kulikuwa na Slave Routes kutoka pwani hadi huku bara na kuelekea kongo...
  11. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Binadamu anaweza kutibu ugonjwa wa kuzeeka?

    Uzee ni kuanzia miaka 50?, nadhan tusiangalie muonekano. Kikubwa ukifikisha hiyo miaka wewe unahesabika mzee. Hata uwe na sura ya kitoto
  12. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Binadamu anaweza kutibu ugonjwa wa kuzeeka?

    Kwahyo katoto ka mamba kanamuonekano sawa na mamba mkubwa.
  13. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Historia ya Wahima na eneo la magharibi ya Tanganyika kama ilivyoandikwa ndani ya kitabu Zamani mpaka siku hizi

    Aisee!! Kuna mambo nimekuwa nikiyasikia naona humu yamefafanuliwa zaidi. Na kuna makabila nilikuwa naona yanamuingiliano ila naanza kupata picha. Niliwahi kuishi sengerema sasahivi ni halmashauri ya buchosa, kuna sehemu inaitwa uzinza. Hawa wazinza lugha yao inafanana na kihaya, Pia maeneo ya...
  14. KANE Ring Master

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Simu yako inakusaidia nini? Shika simu yako nenda upande wa app ya Saa. Utaona miji mbalimbali katika dunia hii na mda wake.
Back
Top Bottom