Pole sana! Mtafute mmiliki Wa ndoa akupe ndoa, hili ni tatizo sana kizazi cha sasa, mmiliki Wa ndoa ni Mungu, mtafuteni Kwa huyo Mungu na hayo yote mtazidishiwa
nitofauti na kwenda kwenye kile kibanda cha bikira maria na kukisujudia. Acheni kusudia sanamu mungu kakataza
Hivi hujui ugomvi Luther na Catholic? Ni baada ya kanisa Catholic kuuza hati ya msamaha
Nyie endeleeni kubushana! Ninachojua Yesu ni mwokozi, Yesu ni bwana nae ndie anaesamehe dhambi. Bikira mariamu alimzaa Yesu tu
na siamini eti bikira maria atuombee dhambi, hio hapana
Ni upi! Tulikua hatuna tumaini, lakini sasa tuna tumaini la uzima wa milele! MWanzo mwanadamu alipata msamaha Wa dhambi Kwa kutoa dhabihu za wanyama.
Lakini Mungu amemtoa Yesu ili kupitia yeye tupate msamaha Wa dhambi
Endelea kuvumilia, hukusema imani yako ya kidini. Labda nikupe ushauli tu Wa bure! Tafuta viongoz wa kiroho wafanye maombi ndoa yako ilejee upya.
Hakika Mungu anabadilisha maisha ya mtu na kua mtu sahihi Kwa jamii.
Mlilie Mungu yeye ni mwaminifu ataponya ndoa yako ni hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.