Umewahi kusikia yupi kapata madhara kwahizo nyama!? Acha kuponda kabiashara kawatu nao wanasaka tonge. Nasiyo ya paka au mbwa kama unavosema, wengi wao wanakuwa na oda toka machinjioni kwa bei so usiulize kwaswala la bei wanajua wao wauzaji amenunuaje na auzeje.
Kama wee huli sawa ila sikukamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.