Recent content by KANDEBE JOHNBOSCO

  1. K

    Mdada anafanya biashara ya kuchoma mahindi

    Fanya kazi yoyote ili upate chochote.
  2. K

    Wadada mnapenda kununua nini ambacho mkiwa nacho mnajisikia furaha?

    Mawazo yenu mazuri lakini yako nje ya mada/Swali lililoulizwa...
  3. K

    Mishkaki ya Tsh.100 Dar

    Umewahi kusikia yupi kapata madhara kwahizo nyama!? Acha kuponda kabiashara kawatu nao wanasaka tonge. Nasiyo ya paka au mbwa kama unavosema, wengi wao wanakuwa na oda toka machinjioni kwa bei so usiulize kwaswala la bei wanajua wao wauzaji amenunuaje na auzeje. Kama wee huli sawa ila sikukamia...
Back
Top Bottom