ni babu mshamba toka mara anayejifunza mipasho ya uswahilini! ni aibu kuwaacha watu wa aina ya werema ktk nafasi nyeti na kuwalipa kwa kodi zetu,ni dharau ya serikali kwa wananchi,au ni mbunge wa viti maalum baraza wazee ccm? atafute jimbo huko kwa wahasira ameezeka atamwachia 2015
ni upuuzi tu kuamini chama fulani ni sawa na baba au mama au Mungu kama alivyowahi kusema Magufuli kwamba ccm ni chama Mungu ni uwehu ni uzuzu uliopitiliza! vyama hivi ni taasisi zilizoundwa na watu kama malengo mahususi! ukiona mtu anavibudu kupita kiasi ujue ni kwa sababu ya pesa
lema unapotea njia km mlimshambuli Mwigamba kwa kupost maoni yake jamii forum ss ww unafanyeje? hakuna vikao vya chama? chama hiki hakina msemaji? msichafuane hadharani mnajishushia heshima mbele ya wananchi!
lema unapotea njia km mlimshambuli Mwigamba kwa kupost maoni yake jamii forum ss ww unafanyeje? hakuna vikao vya chama? chama hiki hakina msemaji? msichafuane hadharani mnajishushia heshima mbele ya wananchi!
mwacheni mzee wa al shabab atafute fedha za kuhonga wapiga kura 2015, meli yake ilikamatwa na shehena ya pembe za pembe za ndovu badala ya kuhojiwa wanakuja na operesheni ya kibwege kuuwa watu wasio na hatia na mifugo yao! Kinana anataka yeye na makada wa CCM wafanye hiyo biashara haramu ndiyo...
acha ujinga nchi inaongozwa na katiba na sheria kanuni hata akiwekwa nani lazima azingatie hayo! hatufanyi mambo kidini kesho mtataka mahakama, benki nk zifuate sharia hayo ni huko huko misikitini na wakristu na mambo yao huko huko makanisani!
Viongozi wa cku hizi hawataki kumwita baba wa taifa wanamwita mzee Nyerere,nadhani angekuwa hai japo hadi 2005 tusingekuwa na ombwe kubwa la uongozi kama hili la sasa
great leader of the time with vision and independent mind,just like Nyerere Nkrumah Mandela etc,maccm hawatakubali propaganda lazima zishike kasi,wao wakienda wanaishia kupiga picha na wacheza filamu wa hollywood au 50 cent
hakuna TISS kilichopo ni usalama wa maccm huoni wanavyofisidi nchi bila wac wac! serikali inaomba wezi warudishe baadhi ya vitu na pesa walizoiba!kituko cha karne!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.