Recent content by kanchibay

  1. kanchibay

    Mpenzi wangu amepoteza mvuto

    Mi niliilisolve tatzo hili kwa kuwagawia namba ya simu wadau ili kunisaidia kazi ya kumkondesha
  2. kanchibay

    Sijui huyu Mwanamke ni wa aina gani?

    Chaiii tam sana hii
  3. kanchibay

    Kasi ya utendaji ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa inatufuta machozi wazalendo

    Mkuu kunywa kinywaji chochote ntalipa maana umeongea point nzuri Yaan sir100 ni dhaifu hanibariki, ila sishangai kwani nifamilia chache sana ambazo mama ikiwa ndo muendeshaji huwa na maendeleo ya kutisha, mara nyingi wengi wao huwa ni too short sighted, utakuta anawaza nguo mpya, kiatu kipya...
  4. kanchibay

    Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Mke kutembea na wanaume zaid ya mmoja ni malaya, ila mume kutembea na wake wengi ni urijali Poole sana brother, tena una roho ngum sana asee maana ingekuwa mim navurugwa hadi tumbo linauma,, Deal nae kisaikolojia, usiwe na maneno mengi, cm yake baki nayo kama ushahidi, jitahidi saana kuwa...
  5. kanchibay

    Naombeni ushauri wakubwa zangu

    Kwanza njoo pm kijana wa kike nikupe mapenzi yenyewe maana inaonekana umri wako ni mdogo naaa jamaa hakupendi,,, ujue sis wanaume tutabaki kuwa wanaumetu hata atokee papa wa kike,, Kiiufupi haupendwi hapo ilatu anakudanganya huyo. Af mistake nyingne mbna kakuzid mbali kiumri hvyo! Au umefata...
  6. kanchibay

    Nifanye nini mke wangu arudi?

    Dawa ya jeuri na kiburi ni dharau
  7. kanchibay

    TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. kanchibay

    Nimeacha uzinzi, hela ya gesti nawekeza VICOBA!

    Zero IQ njoo huku kumekucha
  9. kanchibay

    Kwa Mujibu wa sheria, nisipo kwenda JKT what will happen?

    Nahitaji kusaidiwa ni pate address ya jkt makao makuu pmja na e-mail address (barua pepe) ili niweze kuwasiliana nao
  10. kanchibay

    List ya wanafunzi wa Form Six Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2021

    naomba msaada wa kupata e-mail ya JKT maana kuna dogo hatopata uwezo wa kwenda Mafunzoni hivyo kaniomba nifanye alternative aweze kupost pone, kwa maana hiyo pia nsaidien nani tunamuandikia barua kwenye uongozi wa JKT makao makuu Msaada plz, Nawasilisha.
  11. kanchibay

    List ya wanafunzi wa Form Six Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2021

    Alaf mbona majina hayapatikan sasa?? Mi cjaona orodha yoyte
Back
Top Bottom