Hapo sasa!
Maana hapo iliyovunja hivyo vibanda nadhani ni serikali pia kama mlivamia eneo hilo hayo ndio matokeo yake so tafuteni eneo lingine kihalali.
Gamond bana alikuta timu ipo vizuri sana. Kwa hiyo kaicha timu ikiwa imeshuka kiwango kidogo so ajaye baada ya yeye aje kufanya marekebesho kidogo kwenye timu iwe Bora zaidi.
Kama wazazi wameridhia hiyo Elfu themanini hakuna shida kama ingekuwa tatizo basi wazazi wangekataa kutoa ndugu yangu. Kikubwa ni maridhiano baina ya wazazi na walimu
Kuamini kama kuna maisha baada ya kufa ni kuwa na IMANI kutokana na dini yako uliyonayo maana haya yameandikwa kwenye vitabu ya Imani kwa upande wa biblia kuna simulizi zinaeleza kwamba kuna maisha baada ya kifo.
Sasa mtafute huyo mwizi wako yeye ndio atalipa Hilo deni laah sivyo sidhani kama Voda watakuelewa maana wao wamekukopesha wewe ndio mwenye lain so kwa kifupi hapo UMEIBIWA tu ndugu so mtafute mwizi wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.