Recent content by kamuntu

  1. K

    Kwa Prof huyu sikushangazwa na hili...Mbona mengine haya hapa hamkuyasema?

    Umenigusa sana, hasa umenipa hisia kubwa juu ya uchungu uliokuwa nao wakati unayaandika haya. Ni kweli kwamba matukio yanayofanywa na watu ambao tungetegemea wawe waadilifu yanatutia uchungu sana, watu ambao tungetegemea wawe nuru kwetu vijana ndo wanakuwa mafisidi. Tujifunze mema toka wapi, ndo...
  2. K

    DKT Slaa yupo nje ya Bara la Afrika katika mkakati wa kuboresha Afya Nchini,

    But if you are not, I stand to congratulate you, at least you are aware of a slender being one element of tortious liabilities.
  3. K

    Wawili wauawa Arusha

    amekufa mfanyakazi wake.
  4. K

    Mkutano wa CCM Kizota, Novemba 11-13, 2012

    Wakuu huyu EL tunayesikia yuko katika mbio za Ikulu, mbona amekosa tukio kubwa la chama chake? Bado hajarudi toka Ujurumani? Je agombei nafasi yoyote kwenye NEC TAIFA. Am real less informed on ccm issues.
  5. K

    Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

    si kweli, kwani Bagamoyo University Kinachomilikiwa na LHRC kiko mkoa gani?
  6. K

    Mwangosi's family to sue State

    Nina wasi wasi kama unaweza kusoma makala au taarifa ndefu kwakuwa umesema hujasoma story yote sijui ni kwasababu ni ndefu au? Ukinihakikishia hilo, naweza kukutumia hukumu ya kesi ya Kombe ambayo familia yake ililipwa milioni 300 za kitanzania kama fidia ya serikali kusababisha kifo chake. Ni...
  7. K

    Kutangazwa Arusha kuwa jiji

    Bila kusahau maji machafu yanayotiririka kutoka vyooni hasa mfereji wa kutoka Kaloleni kupitia Mnara wa Mwenge na Hospitali ya Kaloleni, mtaro unaoanzia jengo jipya la NSSF( kama sikosei) linalojengwa maeneo ya round about ya Florida na kushuka Golden Rose na Mbele ya Blue Rock, mashimo ya maji...
  8. K

    Halima Mdee: Jumba la Mch. Rwakatare nalo libomolewe ili Kuepuka Double Standard!

    who will speak if u wont? who will speak 4 the voiceless 4 their voice to be heard? Halima has exercised her freedom of speech. She should be taken as a brave among thousands who knew the scandal but haven't spoken anything. I meritoriously concur with her.
  9. K

    Live Updates: Mwendelezo wa kusikilizwa Rufaa ya Lema - Oktoba 02, 2012

    ushindi unatafutwa hauji hivi hivi tu, washindani watashinda.
Back
Top Bottom