Utaendelea kusomwa Dominica sita mfululizo katika ngazi ya vigango parokia,jumuiya na hata Vatican umeshapelekwa nako unaendelea kusomwa. Radio Maria inaurudia mara kwa mara. Vyombo vingine vyote vya habari hapa kwetu vilipigwa mkwara visiuripoti ila ndo ushafika kila mahala. Roma ni taasisi...
Mwaka jana daladala likapinduka nikatoka mzimaaa nikiwa na mchubuko kwenye mkono huku abiria wenzangu wengi wakiwa wamevunjika mikono na wengine miguu hawawezi kusimama.
Mwaka huu nimepanda bodaboda nyuma nimeshikilia godoro likiwa kati yangu na boda wangu. Ghafla kishindo kikali kikasikika...
Mimi ni mlutheri lakini KKKT yetu ilishajifia,ni migogoro kila kukicha na ubabe. Tutendelea kuwaunga mkono TEC na waraka wao wanaume halisi. Fides et ratio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.