Umenena ukwelu mtupu, tena kwa wasomi wetu na wachambuzi wetu ni hovyo kabisa. Nikusifia tuu kwa kwenda mbele kutafuta appointments na kiongozi mkuu. Bureeee kabisa wasomi wetu waliowengi.
Nchi kwa mwenendo huu utalaaniwa na hatuwezi fanikiwa. Uhuni, na ujambazi kwenye siasa haushindi kamwe. Unakua ushindi wa muda mfupi sana.
Mwisho wa siku, haki hutawala. Hujuma ambayo CCM na Serikali yake inafanyia Upinzani haina maana hata kidogo.
Walitaka chama kimoja Bungeni, wamepata...
Uchaguzi mmeshinda inavyoonekana, na tayari alisha apishwa Rais.
Sasa acheni hizi sarakasi za kufukuzana na wapinzani, Lissu anadai kuna njama dhidi ya uhai wake, acheni hàyo. CCM ni chama makini, mulishavuka siasa za kihuni, ebu muacheni Lissu na viongozi wote wa vyama vya upinzani watembee...
Wajua kuna mambo hupashwi kutumia nguvu. At some point Raila mwaka 1997, akajiunga na KANU, alijiunga na KANU kwa maksudi fulani. Kilichotekea KANU iko wapi?
Huyu binti aende akawatetee wananchi wake. Mbona wakati ule palikuwa Dr Slaa, Zitto Kabwe na wengine hawakufika 5, Bunge lilikua moto tuu.
Huyu mmoja na wa CUF watapiga kelele tuu na kuitoa usingizini CCM.
Riziki yake huyu Mbuge muachieni. Ni maisha yake na ajira yake. Asipoenda munaongeza...
Ni aibu ya Karine na wanajipambanua sana kwamba wanapendwa na wala wanachama milioni 16 sijui kwa takwimu zipi hizo maana ccm haijawahi shinda kura zaidi ya milioni 10 hata siku moja.
Nadhani walibanwa mno, na ukiangalia uongozi wao utajua kwanini? Hata nyuso za watangazaji, ilikua unaona kabisa hawana raha kushindwa kutangaza taarifa za upinzani.
Ilikua unaona kabisa nini kilichikuwepo nyuma ya pazia. Hata NEC haikukemea vyombo vya habari hususani Runinga kushindwa...
Sikiliza kauli za viongozi na kiongozi mkuu ndugu. Kupenda kuvutia mamba kwao. Shida iko wapi kusema kwa wananchi kwamba tumekopa kiasi fulani ndani ya miaka Kitano na hela zimefanya moja mbili tatu. Maana mwisho wasiku nideni la Taifa sio deni la ccm wala Magu.
Hizi kauli hela ipo serekali ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.