Uchaguzi 2020 Shukrani za dhati kwa wote walioshiriki kusambaza taarifa za Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu tangu mwanzo hadi mwisho

Hata mimi pia kuna wanachadema kumi nimekutana nao na wamesema kesho hawataenda kupiga kura. Nimewaacha na maamuzi yao kwa kweli.
 
Wakuu, poleni sana na Majukumu yenu ya kila siku, Naomba kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote mliochangia kusambaza taarifa zote za uchaguzi za Chadema ikiwa ni pamoja na kusambaza kampeni kali za kiwango cha juu za Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chadema, ambaye anatajwa kama Mgombea bora kabisa wa Urais kuwahi kutokea barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.

Wahenga walisema tangu awali kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, bila mshikamano wa wadau wote nyinyi kampeni za Tundu Lissu zisingefikia mafanikio ya 96% ambayo ilifika tangu juzi, Kwa niaba ya Chadema na kwa niaba ya Lissu Mwenyewe nachukua nafasi hii bila kuwataarifu kushukuru kila mdau aliyejitolea fedha, muda, nguvu na bando lake ili kusambaza taarifa za kampeni za Lissu, ni imani yangu kwamba Mungu Mwenyezi atawalipa kwa kazi hii iliyotukuka.

Natambua mchango wa kila mmoja na nauheshimu sana, lakini Kipekee naomba kuwashukuru wafuatao kwa niaba ya wengi, JAMIIFORUMS pamoja na Moderator kwa masahihisho na miongozo, Mungu awalinde watu hawa na mabaya yote katika kipindi walichosaliwa nacho hapa duniani, Shukrani zingine ziende kwa CHADEMA Makao Makuu.

Si rahisi kushukuru watu wote kwenye andiko hili, bali shukrani zetu zimfikie kila mmoja aliyesambaza kampeni za Lissu popote alipo , mmefanya kazi ya kutukuka mno! Nina hakika Mungu atawalipa bila shaka.

Mungu ibariki JF, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Rais Mpya Tundu Lissu.

View attachment 1613452
Nitashikiri vyema mimi kama mmoja ya wanachadema tunaosimamia uchaguzi kuhakikisha haki inatendeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, poleni sana na Majukumu yenu ya kila siku, Naomba kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote mliochangia kusambaza taarifa zote za uchaguzi za Chadema ikiwa ni pamoja na kusambaza kampeni kali za kiwango cha juu za Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chadema, ambaye anatajwa kama Mgombea bora kabisa wa Urais kuwahi kutokea barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.

Wahenga walisema tangu awali kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, bila mshikamano wa wadau wote nyinyi kampeni za Tundu Lissu zisingefikia mafanikio ya 96% ambayo ilifika tangu juzi, Kwa niaba ya Chadema na kwa niaba ya Lissu Mwenyewe nachukua nafasi hii bila kuwataarifu kushukuru kila mdau aliyejitolea fedha, muda, nguvu na bando lake ili kusambaza taarifa za kampeni za Lissu, ni imani yangu kwamba Mungu Mwenyezi atawalipa kwa kazi hii iliyotukuka.

Natambua mchango wa kila mmoja na nauheshimu sana, lakini Kipekee naomba kuwashukuru wafuatao kwa niaba ya wengi, JAMIIFORUMS pamoja na Moderator kwa masahihisho na miongozo, Mungu awalinde watu hawa na mabaya yote katika kipindi walichosaliwa nacho hapa duniani, Shukrani zingine ziende kwa CHADEMA Makao Makuu.

Si rahisi kushukuru watu wote kwenye
Na wewe ni wa kushukuriwa sana kwa kweli.
 
Hivi kwa hila za Tume-ccm kwenye karatasi halisi ikatokea kwamba jina la mwisho likawa la Lipumba + cuf na jina la Lissu + chadema kuwekwa chini ya "chama cha demokrasia makini" ili kuvuruga wapiga kura kuna hatua zozote za kisheria za kuweza kuchukuliwa?

Kumbukeni kuna wamekariri kwamba Lissu ni wa mwisho ktk orodho, hivyo wala hawatachukua tahadhari ya kuhakiki hilo! Pia kuna watu wamekariri "Demokrasia" - hawata chukua tahadhari ya kuhakiki kama ni "Demokrasia makini" au ni "Demokrasia na maendeleo"! Am just playing "the devil's advocate"!!!!
 
Kweli wanastahili tuzo maalum! Kuna watu walidhani kuminya vyombo vya habari wangekuwa wameishika CHADEMA, Lakini mwisho wa siku wamefeli vibaya, wameshikwa wao! viva Lissu, kesho tukampigie Lissu kura za kishindo tuikombowe tasnia ya habari!
 
Wakuu, poleni sana na Majukumu yenu ya kila siku, Naomba kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote mliochangia kusambaza taarifa zote za uchaguzi za Chadema ikiwa ni pamoja na kusambaza kampeni kali za kiwango cha juu za Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chadema, ambaye anatajwa kama Mgombea bora kabisa wa Urais kuwahi kutokea barani Africa tangu kuumbwa kwa Mbingu na Ardhi.

Wahenga walisema tangu awali kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, bila mshikamano wa wadau wote nyinyi kampeni za Tundu Lissu zisingefikia mafanikio ya 96% ambayo ilifika tangu juzi, Kwa niaba ya Chadema na kwa niaba ya Lissu Mwenyewe nachukua nafasi hii bila kuwataarifu kushukuru kila mdau aliyejitolea fedha, muda, nguvu na bando lake ili kusambaza taarifa za kampeni za Lissu, ni imani yangu kwamba Mungu Mwenyezi atawalipa kwa kazi hii iliyotukuka.

Natambua mchango wa kila mmoja na nauheshimu sana, lakini Kipekee naomba kuwashukuru wafuatao kwa niaba ya wengi, JAMIIFORUMS pamoja na Moderator kwa masahihisho na miongozo, Mungu awalinde watu hawa na mabaya yote katika kipindi walichosaliwa nacho hapa duniani, Shukrani zingine ziende kwa CHADEMA Makao Makuu.

Si rahisi kushukuru watu wote kwenye andiko hili, bali shukrani zetu zimfikie kila mmoja aliyesambaza kampeni za Lissu popote alipo , mmefanya kazi ya kutukuka mno! Nina hakika Mungu atawalipa bila shaka.

Mungu ibariki JF, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu mbariki Rais Mpya Tundu Lissu.

#NiYeye
 
Mimi niliandika mada kama yako mleta mada ya kuwashukuru wana CCM na wote walIomuunga mkono Magufuli humu moderator kaitoa jukwaa LA siasa kaenda kuitupa porini huko anakojua mwenyewe ili isiwe visible ibaki ya Lissu tu itambe humu sio kesi kesho kitaekeweka ushindi CCM tukiupata hamtaniona tena JamiiForums mbaki na Chadema wenu muwe mnajichekesha na kucheka wenyewe
 
Mwaka 2015 tulikuwa mbele kwa kila kitu hata waangalizi wa kimataifa wlaipokuja hapa walisifia sana nchi yetu. Wakenya na Waganda walipata somo jinsi demokrasia ilivyoshamiri. Kila mgombea alipata nafasi ya kujinadi mitaani na kwenye TV ya Taifa.

Lakini mwaka huu tumerudi miaka ya mkoloni kwenye figisu alizofanyiwa Nyerere. Kama kweli mmetekeleza kwa kishindo miaka 5 tena bila kelele za upinzani, TV zote mlikuwa nyie mnasema yenu hamna hata mkutano wa siasa wa upinzani.

Ni sifa kem kem kutoka Bungeni hadi mitaani sasa haya ya kunyimana nafasi ya kuzngumza na wananchi kipindi hiki cha kampeni ?

Nasikitika sana kuona hata vijana wa generation yetu waki turn a blind eye on these things! Sawa mnapenda chama chenu lakini haya nyie hamyaoni? .

Mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi ilikuwa kwa busara ya Kiongozi. Wengi hawakutaka vyama vingi lakini viongozi wa wakati huo waliona kuna umuhimu wa kusikiliza hizi sauti za wachache. Does that level of wisdom in our leadership exist today?

Kama nyie wafuasi wa kweli wa Nyerere nendeni mkasome historia ya upinzani ndani Tanzania na namna gani baadhi ya wabunge vigogo wa Nyerere walivyoangushwa kwenye uchaguzi ,his reaction to that and the lessons he took from those failures.

It is my hope that my children and my children's children will not have to live in such a pathetic autocratic state! What is life without freedom?
 
Back
Top Bottom