...vipimo unaweza pata hata temeke hosp or mnaz mmoja ila chanjo n ocean road unaenda na kadi tu maana majibu yanawekwa n database na sindano n 3 kila moja elfu 10..binafs nlifanya vipimo tmk hosp then chanjo nkaenda direct ocean road nkakuta majibu yapo kule...ocean road kuna folen kubwa ya...
..mkuu ukishakuwa positive pale muhimbil wanakufanyia extra vipimo vya kujua km n chronic or acute...nmetoka kulipia lak 6.5 kwa ajil ya ivo vipimo for my relative na NHIF haitumik hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungeiona barabara ya kutoka Banana, Kivule..Msongola ikaungane na Mbande karibu na uwanja wa azam hiyo ya kigambon mbona ni lami kabisa. Huku hadi Tata na Tiper za mchanga zinazama kabisa.
...hata jkt computer mbona zipo na wanafundishwa...watu wana be trained according to malengo...ungesema huko jkt waongeze masomo including hapo unayotaka ingekuwa poa sana...jkt ina train watu nt only mapigano na ujasiliamal bt also activeness ya mtu....
..hapo kwenye namtafuta mke wangu...mwisho ipo..huu mti gan..wa mchoma..ukiukataaa..haukatiki..hata kwa shoka haukatiki hata kwa panga haukatik..wakat mkeo yupo ndan kazingwa kwa kushikana mikono..ww inakata mikono iliyoshikana ukikatika unamkimbiza mkeo huyoooooo kwenye matuta ya viaz...sasa...
..taambalaleeee nyeng'u nyeng'u X2..tambuuuu tambu nsitambu tambuuu tambu nsutaambu matumbuke singonya ngonya..aingonyonya ya mwaka jana...pete na rundoooo na rundo leo shetan kajamba mbaaaaaa......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.