Recent content by KAMHABWA

  1. K

    JamiiForums Tanzania Bungeni leo: Martha Mlata; Kanumba alitakiwa awe na Bodigadi na hakustaili kuishi Sinza

    Huyo ndiye mwakilishi wa wananchi na lugha zisizofaa. Wanaoishi Sinza si binaamu wa kawaida? Je Sinza nani anstahili kuishi huko? Je Martha Mlata anao walinzi wangapi kwa sasa? Au kajisahau hata jukumu lililompeleka mjengoni? Ni bahati mbaya sana lakini ebu tuendelee kusikiliza yatokanayo:yell:
  2. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na Kushuka kwa TSHS

    Jamani, hali hii si nzuri. Wataalamu wakae waangalie tunakokwenda ili watuongoze tushirikiane katika kujenga Taifa. Tuache kubezana kwa sababu jambo hili sio la kichama, tunaadhirika watanzania wote. Huu ni wakati muafaka wa kuonyesha uzalendo. CDM onyesha direction kama lipo la kufanya.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Shirika la Kilimo Tanzania

    Kwa kweli inasikitisha kwamba SHIKITA linahitaji kuchangiwa fedha kwa ajili ya chakula na vitu vingine. Je, wana uhakika upi kwamba kila atakayeomba kazi ataitwa kwenye usailii? Au huo ni utapeli wa aina yake? Kama kazi zipo kweli waitwe watakaonufaika na wachangie hiyo 20 kwa kuwa watakuwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha mradi kinauzwa-Buyuni 2000sqm

    Bei haipoi hata? Embu fikiria hilo bwana!@
Back
Top Bottom