ben tuishauri chadema imshitaki kapuya kwa kuwa serikali yake inamuogopa tumsaidie yule bint nimeweka thread humu kuishauri cdm kumshitaki kapuya kaiondoa kupitia mods wasio waaminifu cdm ikifanikiwa kwa hili italeta imani kubwa kwa wananchi tuanze kutetea mwananchi mmoja mmoja kupitia jopo letu...
jamani kwa hili tumuunge mkono kapewa nafasi kachana inavyotakiwa dunia ijue kuwa tz wametoa damu na jasho kwa ukombozi wa bara hili nimeipenda hii sijui kama mbeki ulirudisha passport yako ya tz
---- mamamamamako wacha ban inipitie kwani nini bwana! nyinyi wachumia tumbo mnakera sana tena sana nchi inasawanyika nyinyi mnachekelea ------- wakubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.