Recent content by Kamelengo

  1. Kamelengo

    Natafuta simu nzuri ya picha

    Ni vyema wazaz kuwanunulia vijana simu ..hasa mnapoelekea vyuoni
  2. Kamelengo

    Jaivah afungiwe na BASATA kwa kuimba matusi mengi

    mtoto kautaa mtoto kautaka..hii nyimbo imekula promo zaidi baada ya yule binti wa yombo kupigwa mtungo na wahuni..
  3. Kamelengo

    Kitanda, godoro na meza vinauzwa. Shule ya udsm imeshaisha hivyo ndio tunarudi kijijini kwetu

    Hicho kitanda kinaonekana kimetandikwa shuka vizuri purposely kuvutia wateja..ingekua vyema ungekiacha shagalabagala Tu kama siku zngne
  4. Kamelengo

    Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

    Kuna shida gani akielezea..kinakiuma nini
  5. Kamelengo

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Huu mwandiko sio wa mtu mwenye miaka 24, na kuna watu watajaa kwenye mfumo ASAP
  6. Kamelengo

    Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

    Sawa..Ila chai ya leo umetupa mkuu haijachemka..irudishe jikoni tena
  7. Kamelengo

    Hussein Bashe amechoka Uwaziri na kuamua kumchafua Rais Samia kwa Watanzania?

    Leo umesahau kuweka namba zako mwishon naona unacheza na kupata teuzi wewe
  8. Kamelengo

    Wanaoweka sukari kwenye hivi vyakula wana matatizo gani?

    Hiyo mbona kawaida watu wanaweka sukari had kwenye juice za miwa
  9. Kamelengo

    Wakuu hivi hii artwork naweza kuiuza?

    Ai on one and two
  10. Kamelengo

    Apa lazima kichapo kikali kimtembeleee

    Hybrid paka..combination ya paka na mbuzi
Back
Top Bottom