Salaaam wana Jf,,,mm ni mtumishi serikalini idara ya Elimu(mwalimu),Nimekumbwa na swaibu la kuhamishwa kituo changu kipya ,Ambapo katika kituo hiki niliamia kutoka wilaya ya Ifakara nakuja wilaya hii ya kilolo,
Niliamia wilaya hii tarehe 12/11/2017,nakuendelea kufundisha na kufanya majukum...