Wakuu je naweza kutumia IPAD kama mobile phone. Yani kama kuna option ya kupiga simu au kutuma text au kama apps za kuniwezesha kutumia huduma hzo.
NATANGULIZA SHUKRAN WAKUU
Nina hilo tatizo pia Mkuu natumia nokia 1320... Hiyo 6tags ni kwa windows 10 tu au ata kwa 8.1 inafaa maana niliupdate kwenda windows 10 ikawa inanizingua nikaachana nayo
hyo flash sports ni nzuri san ila kwa mwenye kujua jinsi ya kulpia huduma zao baada kumalza free trial ya 7 days msaada tafadhali... Pia nimeona kna shm ya chalenges unapewa point ambazo ztakuwa znakuwezesha kustream free ambae bado aja2mia jaribu hii k2 iko poa
xaw hyo nmeangalia bro ila inahtajka baadh ya hardware ili kufanikisha km kna wire wa kuconect kutoka kwenye cmu kwenda HDMI upatkanaje uko vp kwa hapa dar?... 10x kw hyo link
Kwa mwenye uelewa juu ya matumizi ya hii new feature ya windows 10 phone inayo julikana kama CONTINUUM ni kwa ajil ya kutumia simu kama PC kwa kuunganisha kwenye monitor kisha kutumia kama PC..... Msaada kwa mwenye kujua zaidi khs hii feature; jinsi kuunganisha, kutumia na hardware znazohtajka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.