Mimi mama ananikwaza anavyosema yeye ni mama analea. Uwiiiiii watu wakisikia hivyo ni kama anawafungulia. Nenda mahakamani huko ndo utajua nachomaanisha, walinzi wa haki wanakula milungula wazi wazi na yeye ni kama hasikii.
Wakikosea wanabadilishwa vyeo, ki ukweli namkubali mama kishingo...
Kuna tekniki natumia ya video zipo Youtube zinakuongoza ujinenee mazuri zinaitwa law of attraction meditation. Aisee hiyo kiboko! Natafuta sehemu tulivu nasikiliza hizo video alafu nazifuatisha. Nikitoka hapo hata kama kuna mlango ulifungwa lazima ufunguke.
Tukio limefanyika 2019….Kesi imefunguliwa 2020. Imeanza kusikilizwa 2023 baada ya miaka 3.
Kuna harufu ya kitu. Huyu dogo inabidi serikali imlinde kwenye kesi yake.
Mlinyimwa michongo mkaunda genge la kuwachafua wenzenu. Kiukweli maharage na wenzake wasiumizwe kichwa na hizi kelele zenu. Waendelee kujivunia maamuzi yao ya kuwapiga chini.
1. Wewe bado mtoto. Msikilize Mama kuna mienendo anaiona kwako inamtia hofu. Yupo katika mapambano ya kukuokoa.
2. Kinachofanya usirudi home ni hofu ya kukosa uhuru wa kufanya utoto wako unaoufanya ukiwa chuo.
3. Kuna vijitabia umejifunza chuo unajua utashtukiwa na maza na itazusha maneno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.