JK anataka kutibu madonda ya salim ahamed salim aliyomsingizia kuwa ni hisbu alimua karume na kumkatisha ndodto yake ya urais anataka kurudisha mahusiano anajua salim anamachungu sana katika hili kwa hilo natilia shaka uteuzi huu utakuwa na comflict of interest.kuhusu walioba mwoga kigeugeu siku...
Tunapo hisi kufa natufanye hivyo kwa ujasiri, maana kilio chetu watu wamekisikia , pale tutakapo dodoka wengine wataokota silaha kuendeleza mapambano.tunasema kama watumwekea pingamizi G.Lema ,serikali ilitambue hili mapema tutaandamana kupinga pingamizi hilo tupo tayari watuue kama wale...
mtenga hoja nimemkubali ameleta,mawazo mazuri kwa jinsi ninavyoona ,ila ni mwombe tu kwamba asiogope chadema arusha ukiitishwa uchaguzi baada ya siku tisini kuisha cdm itashinda,ccm hawana afya wanautapia mlo wa kisiasa hawana mvuto tena kwa wananchi wanatapatapa.subiri watakavyo anza kugombana...
Nyerere tuna mkumbuka ,tulimpenda alitufikisha mahali pazuri watanzania ,lakini pia mwanafalsafa maarufu mwanasisi wa falsafa ya kuhoji socrates alipendwa na watu wenye fikra pevu pamoja na kifo chake ,lakini watoto wake 3 wa mwanafalsafa huyo pamoja na umaaeufu wa baba yao watu wa athens...
Jamani ni vema fikra pevu zikatumika vizuri kwenye mjamvi huu,jaribuni kurejea mambo mengi yanayopita yanaweza kukupa picha ya watu wa mbeya na wailaya zake,,kyela iliwahi kumwacha waziri mkuu kawawa kwenye mkutano wa hadhara wakatawanyika baada ya kutoa pumba ,wanaojua histori ya anangisye...
Tunaweza kufanya hivyo kama katiba mpya itaundwa na itabana walarushwa wanunua uongozi watatoweka vinginevyo wazo la mtatiro ni mavi ya chooni.namshangaa mtatiro tulipokuwa chuo kikuu cha dar alikuwa mawanaharakati wa kupignia haki za wanachuo leo hii amekuwa gamba la ccm ambalo alilipinga kwa...
ccm wanasumbuka nisawa na mtu anaye zama kwenye maji hudiriki kushika maji ili ajiokoe kumbe maji hashikiki anazama chdema ni maji hashikiki ,ni moto wa mbugani
Iringa waandishi wa habari waliandamana kupinga vitendo vya kuchaguliwa habari za kuandika.tena wanahabari wale wanapaswa kuonwa kwa jicho la pekee , wanajitambua wamejikomboa kifikra ,moto huo ungeambaa kote nchini kupinga vitendo vya kijinga kama hivyo ,sasa RPC wa Mwanza anapomfukuza...
Nijambo la kushangaza anapata kikugumizi gani kuwafuta kazi mponda na nkya?,je anataka watu wafe watolewe kafara kwa madaktari ndipo awafute kazi? ana ubia gani kikwete na hao mawaziri ? badala ya kwenda kukutana na madaktari anakwenda kukutana na wazee wa ccm wanajua nini ,kwanini asikutane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.