Mukenyile - chezea hangine sio watu wa kyl - ni wa wazi mno - nafikiri watu bado wana kumbukumbu ya mazishi ya Mpangala RIP.
hv wana-jf huyu mtu anayeitwa lowasa ni nani katika nchi hii? Yaani kama tutakubali kuburuzwa na masaburi yake basi wazalendo wa ukweli wa nchi tutakuwa tumekufa wote.
Swali:kwann anatumia nguvu nyingi kiasi hiki kujisafisha na hatimaye urahisi? Kama majirani zake tu (wana arumeru) wamemkata iweje tanzania nzima. Ashindwe na alegee.
wewe nimekuambia kaa kimya na acha kudanganya watu hapa kwenye mtandao maana haupo Kyela na unahadithiwa tu, endelea kutumika na mafisadi ili wakushikishe kuta. ulizia vizuri wakuambie wasikudanganye Kyela inajua yote aliyoyafanya Mwakyembe na ndio maana ina muunga mkono. Hakuna Mbunge aliefanya makubwa Kyela kama Mwakyembe. Ndg yangu hujui hata eneo alipopokelewa Mwakyembe, unadanganya kuwa ni Stamico, Shame upon you!Huu ni ujinga sana jamani sisi Kyela ni masikini, masikini sana tena sana.hatuwezi kuvumilia kila siku kyela kyela,Miaka nane jamaa anaendelea kudanganya tu.Kakundi kalikoanzishwa na Mwakyembe kyela ndo kamegawa wana Kyela,mi baba mizima pumbavu kila siku ni kulia na kutafuta umaarufu wa huruma.Mwakyembe huyu na kundi lake dogo la Kyela waongo wakubwa hao.
1.Kwanza ndo wenyewe walitangaza kwamba Mwakyembe amefariki ili Mwakyembe apate huruma
2.Wakatangaza kwamba wazee wa Kyela watakwenda kumwona rais..wakati wazee wenyewe wa kyela hawajuhi
3.Wameitisha mandamano ya kwenda stamico kumpokea Mwakyembe na kujazia bodaboda mafuta na risala aliandika Mwakyembe mwenyewe.
Tumechokaa...Stop Mwakyembe 2015.....
Hiyo vita ya Tembo nyie Nyasi mnaitakia nini? au mna hamu ya kuumizwa?
Lowassa akija huko hamuwezi kufanya lolote hizo ni kelele tu kama za Debe tupu. maana hakuna hata mmoja wenu wala Mwakyembe mwenyewe anaweza kuthibitisha kuwa amegongwa na Nyoka Lowasa.
Hakufa this time basi Amshukuru Mungu wake atulie asubirie another strike. Ndani ya CCM kila mtu na Adui wa mwenzie msijidange kuwa adui wa Mwakyembe ni Lowasa na Rostam only.
wewe nimekuambia kaa kimya na acha kudanganya watu hapa kwenye mtandao maana haupo Kyela na unahadithiwa tu, endelea kutumika na mafisadi ili wakushikishe kuta. ulizia vizuri wakuambie wasikudanganye Kyela inajua yote aliyoyafanya Mwakyembe na ndio maana ina muunga mkono. Hakuna Mbunge aliefanya makubwa Kyela kama Mwakyembe. Ndg yangu hujui hata eneo alipopokelewa Mwakyembe, unadanganya kuwa ni Stamico, Shame upon you!
wewe nimekuambia kaa kimya na acha kudanganya watu hapa kwenye mtandao maana haupo Kyela na unahadithiwa tu, endelea kutumika na mafisadi ili wakushikishe kuta. ulizia vizuri wakuambie wasikudanganye Kyela inajua yote aliyoyafanya Mwakyembe na ndio maana ina muunga mkono. Hakuna Mbunge aliefanya makubwa Kyela kama Mwakyembe. Ndg yangu hujui hata eneo alipopokelewa Mwakyembe, unadanganya kuwa ni Stamico, Shame upon you!
Inawezekana wewe ndiye mpuuzi kuliko wote halafu hujielewi.
We ndo unatumika tena "ULIKONYOFU"Kyela watu masikini sana mbunge ngojela miaka yote nane
Inawezekana wewe ndiye mpuuzi kuliko wote halafu hujielewi.
Hiyo vita ya Tembo nyie Nyasi mnaitakia nini? au mna hamu ya kuumizwa?
Lowassa akija huko hamuwezi kufanya lolote hizo ni kelele tu kama za Debe tupu. maana hakuna hata mmoja wenu wala Mwakyembe mwenyewe anaweza kuthibitisha kuwa amegongwa na Nyoka Lowasa.
Hakufa this time basi Amshukuru Mungu wake atulie asubirie another strike. Ndani ya CCM kila mtu na Adui wa mwenzie msijidange kuwa adui wa Mwakyembe ni Lowasa na Rostam only.
Hakuna wana kyela hapo,nyie ni kakundi cha watu wenye njaa zenu.mmekalia kugawa wana kyela bila sababu.Wajinga nyie hamna kitu chochote.Lini mpokelewa anaandaa mapokezi na kujaza bodaboda mafuta.Kudadadek nyie,wapuzi kabisa,wilaya haina kitu nyie maugonvi tu.
Nasikia kichefuchefu...
Anyway,ngoja nilale,nitarudi
Kumshabikia Mwakyembe inatakiwa akili ya maiti au "IKHIGHUNE"maana yeye ni Gamba la Kinyonga,kila siku anakuja na mbinu za uongo,maendeleo Kyela hakuna,.Toka tumchague Mwakyembe,amefanya nini,zaidi ya lowasa lowasa,Mara Mwakipesile alikuwa ananikwamisha,sasa mwakipesile hayupo hamsemi tena.Mwakyembe ni gamba la kinyonga na bangi za Malawi.