Mstaafu Jakaya Kikwete anawashwa na nini?
Na Mjumbe wa Mkutano Mkuu
MWAKA 2017, aliyekuwa Rais wakati huo, John Pombe Magufuli, alisema: "wastaafu wengine hawachoki kusema, wana washwa washwa."
Magufuli alitoa kauli hiyo kuwalenga baadhi ya wastaafu ambao aliwaona kuwa wanaleta chokochoko...
Hata ukitumia maandishi makubwa na bold ukweli utabaki palepale, Edward Lowassa hafai kuwa kiongozi Tanzania. Ni mpenda mali, ana utajiri mkubwa wa mashaka, amehusika na kashfa ya ufisadi ya Richmond ndio maana akalazimika kujiuzulu na ni kibaraka wa Rostam Aziz.
Samuel Sitta na Harrison...
Samwel Sitta ndiyo kiongozi wa CCM anayekubalika na wananchi wa Tanzania kuliko mtu yoyote yule kutokana na kupinga ufisadi kwa vitendo. Ukweli ndiyo huo. Hata CHADEMA wanamuheshimu Sitta kwa hili na rekodi yake ya uongozi haina doa.
Nyingine hiyo.....
MGAO WA UMEME
Uchumi wayumba
* Taifa lapoteza sh. trilioni 1 kwa mwezi
* Hofu yatanda maelfu ya vijana kukosa ajira
* Ukali wa maisha wawaacha Watanzania hoi
* Serikali yang'ang'ania mchezo wa Dowans
MWANDISHI WETU
Dar es Salaam
MGAO wa umeme unaoendelea...
Je, haya ndiyo maisha bora kwa kila Mtanzania ambayo Rais Jakaya Kikwete alituahidi? IMF na wataalamu wengine wamesema kuwa tatizo kubwa la kuporomoka uchumi ni kutokana na ukame unaosababisha mgao wa umeme na upungufu wa chakula.
Tangu ukame wa 2006 na mgao wa umeme, leo hii imepita miaka 5...
Afya ya Lowassa si issue. Jambo la msingi ni kuwa yeye ni fisadi na amechafuka sana. Hana maadili, ni mpenda mali na hafai kuwa kiongozi. Wewe unayesema kuwa Lowassa ndiye presidential candidate pekee anayefaa CCM baada ya Kikwete bila shaka unapakatwa na Lowassa. Ndani ya CCM kuna viongozi bora...
Tabaka la watawala Tanzania ni sawasawa na Gaddafi kwa sababu zifuatazo:
1. Wote wanaimani potofu kuwa serikali yao inapendwa sana na wananchi
2. Wote wanaamini kuwa maandamano yanachochewa na serikali/taasisi/wafadhili wa nje
3. Wote wanaamini kuwa wananchi wanapewa kitu ili kushiriki...
Sikilizeni WADANGANYIKA wenzangu. January Makamba ni wakala wa mafisadi. Amepewa ubunge na Rostam Aziz na Edward Lowassa ili wamtoe William Shellukindo aliyetoa uamuzi kamati ya ubunge ichunguze Richmond. Pia wamemuweka kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo ya Bunge ya Nishati na Madini ili...
Sikilizeni WADANGANYIKA wenzangu. January Makamba ni wakala wa mafisadi. Amepewa ubunge na Rostam Aziz na Edward Lowassa ili wamtoe William Shellukindo aliyetoa uamuzi kamati ya ubunge ichunguze Richmond. Pia wamemuweka kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo ya Bunge ya Nishati na Madini ili kufanikisha...
There are currently 23 users browsing this thread. (4 members and 19 guests)
Kambarage
MENGI
Bill
JF Marketer
Bwana MENGI wewe unasemaje kuhusu Lowassa, mbona uko kimya?
Lowassa ni fisadi mkuu hapa Tanzania. Yeye pamoja na swahiba wake Rostam Aziz wanaivuruga sana nchi hii. Wacha CCM wamchague awe mgombea Urais wa 2015 ili kifo cha chama tawala kitimie rasmi. Mungu Ibariki Tanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.