Hoja nyepesi sana watanzaniana mashirika yanayokatiwq mbona wanalipa kodi na zinatumika kuendesha nchi je na wao wasilipe umeme kwasbabu waalipa Kodi? Aaombe kuongezewa muda wa kulipa si kuona anahaki ya kutokulipa
Nenda kasome historia ya kanisa katoliki na misinginya uanzishwaji wake usiimbe tu kuwa ni kanisa mama.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
We waache wapinge wasubiri tangazo la TRA Mapatonya October ndo watajua.
Kukusanya Tax arrears kumekwisha sasa kodinunaipata wapi hakuna anayeuza na wanunizi wako dhoofi bin hali klhakuna posho za vikao hakuna posho za safari hakuna.hata chai ya ofisi dawa nazo hakuna
Yaa inawezekana lakini pia kwa riba mabazi mabenki inatoza na mazingira ya sasa ya kibiashara ni ngumu sana kwa wafanyabiashara kulipa vyema mikopo yao. Njia pekee ni Bot kuachia fedha kwa njia ya mikopo kwa mabenki kwa riba ndogo let say 5% na kuweka ceiling ya riba ambayo mabenki yatatoza let...
Good watu wengine wa afimiria uchumi unaendana na imani za dini la hasha. Uchumi ni mnyororo sector moja ikilegalega inaangusha na nyingine pia na impact hii itaenda hadi kwenye mapato ya serikali
Hakuna bank hapa nchini ineacha kufanya majukumu yake ya msingi kupokea deposit na kuzitunza na pili kutoa mikopo sasa hizi huduma na nyingine zenye le go la kuinarisha majukumu haya mawili makubwa ndo yanaleta hizo fees inategemea aina ya huduma.
Wakati huo huo be ki inalipa riba kwa deposit na...
Wewe sasa ndo.unapotea kabisa uwezo wa atm kwa trnsaction moja hauzini noti 40 kupita kwenye dispenser ya noti sasa we unataka 500000 hizo noti zitapita mdomo upi. Kaa kimya au uliza inbox kwanza kable hujaja hiku
Si wakati wote mikopo mibaya inatokana na uzembe mabadiliko ya mazingira ya kibiashara ya mkopaji yanasababisha kwa kiasi kikubwa kuharibika kwa mikopo.
Mikopo inatolewa kwa kuzingatia business projections katika kipindi cha mkopo kwa kuangalia past na existing performance. Inapotokea hali ya...
BOT ineshidwa kufanya kazi yake ya kuwa mkopeshaji wa mabenkiya kibiashara na hivyo kufanya mikopo iwe ghali zaidi kutokana na gharama za amana ambazo benki hizi zinaingia kupata amana.
Pia kwa serikali kuhamisha pesa zote kwenye mabenki kumeatbiri ukopeshaji ili kuanzisha shughuli mpya za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.