Recent content by kamazima10

  1. K

    Kuna haja ya kweli sasa ya UKAWA kutoshirikiana na CCM katika jambo lolote, kisiasa au kijamii

    Hapo unaona ushujaa sasa kutoshiriki msiba na kutonunua kwenye bidhaa za ccm unamkomoa nani? Bakhresa Mo Mengi ni ccm sasa nambie unahubiri nn hapa au Mungu ni wachadema pekee?
  2. K

    Ndege mpya yafanyiwa majaribio. Yaenda Kigoma bila abiria na kugeuza bila abiria

    Nachoshangaa mtoa post kasema engineer kasema iko kwenye majaribio ndo ianze kubeba watu nasikitika wasomi wa tz vijana kama kusoma na kuelewa ni kazi kufikiri je [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. K

    Sallam aeleza ukweli wa tukio la show Mombasa

    Mkuu weka timu pembeni imagine ungekuwa ni ww cha muhimu sallam ameclarify baasi kiba naye awe muungwana kuelewa na kuomba radhi au unaniambiaje mdau
  4. K

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Ndo mawazo yetu vijana mtu unakaa miaka upati hata laki 5 ghafla unataka mwezi mmoja upewe milion hapo ndo tunapochemka vijana wale wa milion endeleeni kuangalia series mkisubiri serikali ipate viwanda na uchumi mkubwa zaidi
  5. K

    Hii ndo sababu inayomfanya Diamond asishiriki Fiesta 2016

    Kama ww ulivyovunja mkataba na common sense ili umwage pumba
  6. K

    Sasa ni Rasmi Trump ndiye Rais wa Marekani

    Na ukawa mtaasaidia kumpeleka clinton the hague
  7. K

    Ambulance yaupisha msafara wa mke wa rais Kivukoni

    Yy ndo alikuwa anaendesha au? Ebu umiza kichwa sio vidole
  8. K

    TRA yazifunga rasmi Akaunti zake Zilizokuwa Kwenye Benki za Biashara!

    Mwanangu wa miaka 6 kaona hii post akacheka sana akaniuliza baba watu wanafikiri kweli?
  9. K

    Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli chadema balaa bro lowasa yuko wapi leo?
  10. K

    Hivi ni faida gani ambayo wasanii wa Tanzania wamepata kwa kuisaidia CCM wakati wa uchaguzi?

    Kumbe mtoa mada ni punguani alafu analeta mambo ya Mungu kama vile mbinguni ni kwao chadema wananikera kitu kimoja wao mtu ukitaka kuwapinga utaitwa majina yote mpaka shetan lakin cha ajabu wao wanataka kupinga ya ccm jifunze kuwa wavumilivu hoja unayo toa huna kausha usipende ujinga ujinga...
  11. K

    Lowassa ana Masters ya kupambana na umasikini upi angali wafuasi wake masikini wa kutupwa?

    Mtoa mada asante kwa kutoa watu mapovu nataka kusema upinzani mnafeli sehemu mmoja mnataka msemwe kwa mazuri wakati hayapo ila kazi yenu kuponda mema ya serikali afadhali mngeponda mabaya ila kila zuri mnakandia sasa moto wa bombardier utawanyoosha 2020
  12. K

    Majibu ya Prof. Kitila Mkumbo kwa Tundu Lissu

    Yani siasa ya vijana mwaka huu tutajionea mengi ukitaka utukanwe matusi mazito we pinga ukawa au chagadema hapo mvua ya matusi itakumwagikia balaa kama mnadhan si profesa kuweni nyie basi
  13. K

    Ipe maneno

    Alafu na wewe unasema eti una wazazi na unawaheshimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe Lowasa aliposema Tunaitaji elimu hakukosea
  14. K

    Msajili Tafadhali Bwana! Uliisoma Barua ya Lipumba Kujiuzulu?

    Matusi haya ni mazito kwa Chadema yote sijui kama umeandika kwa kujua au umekurupuka kibavicha maana Tanzania nzima inajua jinsi chadema walivyomshambulia mh Lowasa leo hii wamebadilika kauli ama kweli namalizia na msemo wako mtu mzima anageuka kitandani sio kauli asante
Back
Top Bottom