Mkuu ulicho kisema hapo hakuna ukweli eti <75 unit in 100/= sio kweli labda kuna watu special,service charge ni mzigo kwetu wanchi inatakiwa kupunguza.
Mkuu naomba kujuzwa zaidi kwene maharage kuhusu
1. Mbegu inayo lipa sana sokoni
2. pato lake kwa ekra
3. msimu wa kulima , je ni masika tuu?
4. zoefu wowote ulio nao kuhusu hili zao
Natanguliza shukrani.
Mkuu Kinjikitile mbona mambo anayo ongea yanaeleweka, hii nchi watumishi na viongozi tulio wapa dhamana ni wavivu kufanya kazi na kufikri balaa, hakuna ubunifu wala bidii ktk kazi. Hili ni tatizo wengi wanawaza wizi tu, na hii inasababishwa na viongozi ovyo na legelege tulio nao.
Kwani sisi watanzania tumerogwa na nani?, hawezi mtu kogombea nafasi kubwa kama hii kwa ombwa agombee, nafasi hii ni nenyeti CV ndefu na uadilifu pekee haitoshi; Kwa sasa tunahitaji mtu mwenye;
1. Tunahitaji mtu mwene maono juu ya hili nchi.Sio mtu anaona umasiki kwene taifa kama hili 50yea...
Hongera Dr kwa maamuzi mazuri.
Pia siku nyingine tuna kuomba usihudhurie midaharao inayorushwa na tv isoyokua na coverage kubwa hapa nchi mdahao unakua wa kibaguzi, sie wakulima hatuona na kusikia mdahalo ilihali tuna hamu ya kukusiki Rais wetu, tunaomba pia utangaze nia muda ukifika.
Kwa...
Mkuu umeongelea jambo zuri sana,ambalo mimi huwa najiuliza kwanini vyama huwa haviangalii mtu mwenye maono ya kiuchumi na kijamii kulingana na rasilimari tulizo nazo? yaani tunakua na rais asiyejua kwanini watanzania ni masikini.
CV ndefu na uadilifu pekee havitushi kwa tulipo sasa kama nchi na...
Mtaalamu nashukuru sana kwa majibu mazuri sana,nimekupata barabara kabisa.
Mkuu mbegu wakati wa kusia natakiwa kutawanya random au kwene mstari na natakiwa kuhamisha baada ya muda gani kutoka kitalu kwenda shambani?.
Standard size ya tuta la kitalu na shamba(lakuhamishia) ni kiasi gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.