Mataifa hayo yanaamua nani awe rahisi Congo ili aweze ku fulfill interest zao. Akienda kinyume anauwa mfano Mabutu, kabila..wanamuweka madarakani na wanaamua atawale kwa kipindi gani anapangiwa majukumu yake. Akienda kinyume au tofauti na maagizo anayopewa yanamkuta yatakayomkuta.
Rais...
Madini yanachukuliwa na nchi za magharibi..chaos hii inatengenezwa na nchi za magharibi, nchi za Kiafrika ulizozitaja ni wachezaji tu kwny hii filamu ila script writer Na director wa movie hii ni mataifa ya magharibi. Uhusika wa nchi hizi ni mbinu ya kuficha kiini harisi cha Vita Na vurugu...
Habarini wanajamvi,
Hivi karibuni nimegundua bei za vifurushi vya data zimepanda tena licha ya kupunguzwa takribani miezi 4 iliyopita baada ya wananchi kupiga kelele.
Bei za vifirushi hivi zimepandishwa kinyemela baada ya kushushwa kwa kelele za wananchi. Sasa najiuliza ni ile mbinu ya...
Utajiri wa hawa jamaa ni wakinadharia zaidi.. Unakua translated interms of share value. Ukiangalia Kama matajiri wengi wa magharibi wanapata Tabu Sana kufanya conversation ya shares zao into hard cash wakati mwingine wanalazimika kuchukua very expensive loans to cover up expenses zao...
Waswahili bado hatujang'amua umuhimu wa kutoa taarifa rasmi za changamoto hasa kwny issue nyeti kama nishati, watu wanategemea nishati kuendesha maisha ya kila siku....*****
Habari wana jamvi,
Siku za hivi karibuni sisi wakazi wa Dar tumeshuhudia kukatika kwa umeme sehemu tofauti tofuati kwa muda mrefu na kila siku.
Kwangu uwelewa wangu na uzoefu wangu naona kama mgao wa umeme umeanza kinyemela humu jamvini tuko watu wa aina mbali na nyadhifa tofauti, ni ombi...
Tulikua tunakaa ghetto machizi kibao, nikawa nimeficha condom zangu sehemu, Jamaa yangu mmoja akawakazitumia baadae ya kustukia chimbo, siku moja nikaja na kazi ya ukweli night Mara sioni zana, nikahairisha pambano kwa shingo upande, na baadae ya kufeli siku hiyo demu akaninyima mzigo mpaka...
Siku moja night nilikua nina mihadi na demu wangu na tulikua tukihishi jirani, tulikua na mazoea kila usiku demu anachomoka kwao anakuja kulala gheto kwangu Kisha anarudi kwao alfajiri Sana kabla hakuja pambazuka na kulikua na tetesi mtaani kwamba kwao ni wachawi, Ila sikutilia maanani Sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.