Kumbuka Sugu ni mbunge ni mwanamziki ni mkulima pia ni mfanya biashara
Kwaiyo wewe mfanya biashara unategemea kazi moja tuu ya kufanya biashara huwezi kujilinganisha na Sugu
Harafu usiseme hakuna pesa sema sina pesa maana watu wengine wana kula raha tuu kama kawaida
Usikurupuke kaka unapo enda kukopa bank kuna utaratibu wake na mkopaji na mkopwaji wote wana lidhiana sio kama mwizi ameenda kwenye mti wa maembe na kutingisha mti kisha kuanza kuokota
Kila kitu na utaratibu wake
We unajuwa sugu kakopa sh ngap?
Kwanza Sugu ni mwanamziki
Shoo yake moja anachukuliwa kwa milioni tano na kila siku anapewa ofa lakini kulingana na majukumu ya kibunge anashindwa kwenda kupiga shoo
Mdomo wake ndio mtaji wake yeye kama yeye akiamua azunguke tanzania nzima kupiga shoo atakusanya sh ngap?
Na unajuwa ana semi...
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MKOA WA MBEYA
TAARIFA KWA UMA
kutokana na habari iliyo ripotiwa na gazeti la majira toleo la leo septemba 22 lenye kichwa cha habari "Ccm Mbeya yavuna vijana 79" hii ni taarifa ya uzushi haina ukweli wowote ,inalenga kuwa hadaa wananchi iliwaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.