Recent content by Kamanda Moshi

  1. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Mkuu Upo sahihi. Mwanzo Nilikuwa nasaidia kadri moyo wangu uliponiambia nisaidie but later nikaja kuona it’s a trend. Unamsaidia mtu week hii after two weeks anarudi tena , then anarudi tena… sijui huwa wanawaza nini. Pia Mbaya zaidi hawaulizi au kuomba mchongo wa kazi, yeye anachojali ni...
  2. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya fundi mechanic magari makubwa

    Ni PM number zako, tuna fleet ya Mercedes Benz trucks pia, Actros na Atego .
  3. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya fundi mechanic magari makubwa

    Tunatafuta Fundi Magari Makubwa mwenye uzoefu wa kutengeneza Engine na Gearbox za malori na magari makubwa, hususan yale ya Kichina. Sifa zinazohitajika:
• Uwe na uzoefu wa kutengeneza engine za malori na magari makubwa.
• Uwe na uwezo wa kufanya matengenezo na overhaul za gearbox.
• Uwe...
  4. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Mkuu mlishaangalia cancer? Ni vizuri pia kufanya vipimo hivo kama bado hamjafanya ili kuchukua hatua mapema. Pole sana kaka. I can imagine changamoto mnazopitia.
  5. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Ni ndoto za alinacha kujenga Flyover Mwenge na Morocco

    Aliyetoa ahadi ya flyover 5 alikuwa Humphrey Polepole wakati ulee!
  6. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutembea na mpenzi wa rafiki yako?

    Ila sisi wanaume ni wabinafsi sana! Ingekuwa jamaa amekula rafiki wa girlfriend wake (shemeji wake wa kike) naamini angesifiwa humu. Ila kwasababu Kala demu wa mshkaji wake eeeh anaitwa snitch nk nk! Waswahili hawakukosea “kunya anye kuku akinya bata aaahaaa ameharisha 😀) NB: siungi mkono...
  7. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Mkuu hili jibu lako m-quote huyo shekhe mwanzisha mada. Anawaonea wivu Wakristo kuwa wao hawatepewa mabikira 72 Kama wao, now anataka Wakristo wapewe 100 kabisa.
  8. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Unafurahisha sana chief. Kwa wanawake hawamiliki nyumba? Nyie Kama mnapewa mabikira wenu 72 wewe wawahi kabla hawajaisha. Nenda kasome luka 20, mstari wa 34-36 “Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule...
  9. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Kwa hiyo injili inawahusu wanaume tu? Au tukifika hapo tuseme this is only for men chapter? Mchungaji wenu Ndo alivowafundisha hivo nini mkuu? Endelea kuitafsiri biblia kwa maana zako lakini! Good luck
  10. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Acha upotoshaji, kwa hiyo mwanamke aliyeacha nyumba (kwa upotoshaji wako mume) atapewa waume 100 mbinguni wamkamue?
  11. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Seasoned by each season…🙃😁 mhhhhh🤷🏿‍♂️
  12. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Mhh mkuu tuseme tu ukweli… utoto unakusumbua. Samahani kwa lugha ngumu!
  13. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Udhibiti Uchumi LATRA: Madereva watakaogoma Aprili 12, kufutiwa Leseni

    Shida ni nchi isiyo na mifumo. Watengeneze mifumo, bei ya mafuta ikipanda kwa a certain percentage na nauli inapanda kwa kiwango Fulani. Mafuta yakishuka kwa percentage Fulani na nauli inashuka hivo hivo. Mbona ni simple tuuu! Pili waweke mfumo wa kutangaza bei za nauli kila mwezi Kama...
Back
Top Bottom