Recent content by Kamanda Moshi

  1. Kamanda Moshi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kutembea na mpenzi wa rafiki yako?

    Ila sisi wanaume ni wabinafsi sana! Ingekuwa jamaa amekula rafiki wa girlfriend wake (shemeji wake wa kike) naamini angesifiwa humu. Ila kwasababu Kala demu wa mshkaji wake eeeh anaitwa snitch nk nk! Waswahili hawakukosea “kunya anye kuku akinya bata aaahaaa ameharisha 😀) NB: siungi mkono...
  2. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Mkuu hili jibu lako m-quote huyo shekhe mwanzisha mada. Anawaonea wivu Wakristo kuwa wao hawatepewa mabikira 72 Kama wao, now anataka Wakristo wapewe 100 kabisa.
  3. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Unafurahisha sana chief. Kwa wanawake hawamiliki nyumba? Nyie Kama mnapewa mabikira wenu 72 wewe wawahi kabla hawajaisha. Nenda kasome luka 20, mstari wa 34-36 “Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule...
  4. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Kwa hiyo injili inawahusu wanaume tu? Au tukifika hapo tuseme this is only for men chapter? Mchungaji wenu Ndo alivowafundisha hivo nini mkuu? Endelea kuitafsiri biblia kwa maana zako lakini! Good luck
  5. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Yesu anasema watakao mafuta watapata mabikira 100 peponi

    Acha upotoshaji, kwa hiyo mwanamke aliyeacha nyumba (kwa upotoshaji wako mume) atapewa waume 100 mbinguni wamkamue?
  6. Kamanda Moshi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Seasoned by each season…🙃😁 mhhhhh🤷🏿‍♂️
  7. Kamanda Moshi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Mhh mkuu tuseme tu ukweli… utoto unakusumbua. Samahani kwa lugha ngumu!
  8. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Udhibiti Uchumi LATRA: Madereva watakaogoma Aprili 12, kufutiwa Leseni

    Shida ni nchi isiyo na mifumo. Watengeneze mifumo, bei ya mafuta ikipanda kwa a certain percentage na nauli inapanda kwa kiwango Fulani. Mafuta yakishuka kwa percentage Fulani na nauli inashuka hivo hivo. Mbona ni simple tuuu! Pili waweke mfumo wa kutangaza bei za nauli kila mwezi Kama...
  9. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Napitia kipindi kigumu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa zangu za mtaji, napitia kipindi kigumu sana wakuu msaada

    Mkuu umepokea hapo muamala kutoka CRDB bank, nimekuongezea na ya kutolea kabisa. Sasa ukafanye Biashara yako achana na kuwatafuta hao vibaka au kuhangaika na police. Utapoteza muda na fedha. Ni matumaini yangu una shida genuine na haufanyi utapeli. Sikujui, hunijui Ila nimekusaidia kwa imani...
  10. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Napitia kipindi kigumu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa zangu za mtaji, napitia kipindi kigumu sana wakuu msaada

    Mkuu nimekuuliza kwa Nia Nzuri , hicho ulichoandika hapo kwa uwazi ndio utakachopata . Naamini number yako inapokea muamala.
  11. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza nimeingia Sirari Kenya, tofauti ni kubwa sana, Watanzania bado tupo fofofo

    GDP ya Kenya Ilikuwa kubwa Mara 4 kuzidi ya Tanzania wakati huo wa miaka ya 60. Kwa hivo Kenyatta aliipata nchi ambayo tayari inajiweza kulinganisha na Mwalimu.
  12. Kamanda Moshi

    JamiiForums Tanzania Maswali na majibu kuhusu ukaguzi wa askari wa barabarani

    Shida ni ukaguzi kila siku kila njia na zaidi ya kituo kimoja. Mfano unatoka mlimani city kwenda Tegeta via goba, utasimamishwa zaid ya Mara tatu minimum kukaguliwa “wanakagua nini”? 1. Utasimamishwa hapo Ardhi kwenye Kona kutoka tu survey then 2. Utasimamishwa baada tu ya Makongo mwisho pale...
Back
Top Bottom