Shida ni ukaguzi kila siku kila njia na zaidi ya kituo kimoja.
Mfano unatoka mlimani city kwenda Tegeta via goba, utasimamishwa zaid ya Mara tatu minimum kukaguliwa “wanakagua nini”?
1. Utasimamishwa hapo Ardhi kwenye Kona kutoka tu survey then
2. Utasimamishwa baada tu ya Makongo mwisho pale...
Nenda hospital kubwa kapime na upate ushauri! Unachoeleza hapa ni kama vile ni dalili za angina…
Fika mapema hospital kubwa kupata vipimo na ushauri, kumbuka huo moyo wako Ndo engine nzima ya mwili wako.
Let’s assume vyombo havihusiki kwenye haya, then swali linakuja Mbona wanaofanya haya hawakamatwi?
Compromised? Not effective? Binafsi sijui jibu sahihi kwenye hayo mawili!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.