Ila sisi wanaume ni wabinafsi sana! Ingekuwa jamaa amekula rafiki wa girlfriend wake (shemeji wake wa kike) naamini angesifiwa humu.
Ila kwasababu Kala demu wa mshkaji wake eeeh anaitwa snitch nk nk! Waswahili hawakukosea “kunya anye kuku akinya bata aaahaaa ameharisha 😀)
NB: siungi mkono...
Mkuu hili jibu lako m-quote huyo shekhe mwanzisha mada.
Anawaonea wivu Wakristo kuwa wao hawatepewa mabikira 72 Kama wao, now anataka Wakristo wapewe 100 kabisa.
Unafurahisha sana chief. Kwa wanawake hawamiliki nyumba?
Nyie Kama mnapewa mabikira wenu 72 wewe wawahi kabla hawajaisha.
Nenda kasome luka 20, mstari wa 34-36
“Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule...
Kwa hiyo injili inawahusu wanaume tu? Au tukifika hapo tuseme this is only for men chapter?
Mchungaji wenu Ndo alivowafundisha hivo nini mkuu?
Endelea kuitafsiri biblia kwa maana zako lakini! Good luck
Shida ni nchi isiyo na mifumo. Watengeneze mifumo, bei ya mafuta ikipanda kwa a certain percentage na nauli inapanda kwa kiwango Fulani. Mafuta yakishuka kwa percentage Fulani na nauli inashuka hivo hivo. Mbona ni simple tuuu!
Pili waweke mfumo wa kutangaza bei za nauli kila mwezi Kama...
Mkuu umepokea hapo muamala kutoka CRDB bank, nimekuongezea na ya kutolea kabisa.
Sasa ukafanye Biashara yako achana na kuwatafuta hao vibaka au kuhangaika na police. Utapoteza muda na fedha.
Ni matumaini yangu una shida genuine na haufanyi utapeli.
Sikujui, hunijui Ila nimekusaidia kwa imani...
GDP ya Kenya Ilikuwa kubwa Mara 4 kuzidi ya Tanzania wakati huo wa miaka ya 60. Kwa hivo Kenyatta aliipata nchi ambayo tayari inajiweza kulinganisha na Mwalimu.
Shida ni ukaguzi kila siku kila njia na zaidi ya kituo kimoja.
Mfano unatoka mlimani city kwenda Tegeta via goba, utasimamishwa zaid ya Mara tatu minimum kukaguliwa “wanakagua nini”?
1. Utasimamishwa hapo Ardhi kwenye Kona kutoka tu survey then
2. Utasimamishwa baada tu ya Makongo mwisho pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.