Mkuu wakumbushe tu Kati ya kitimoto na Fisi nini ni cha ajabu zaidi kuliwa…. Hebu tizama hapa chini Fisi anaongelewaje kwa mujibu wa maandiko….
“Kula nyama ya fisi ni halali (inaruhusiwa) katika sheria za Kiislamu (Sharia). Hii ni kwa mujibu wa Hadithi sahihi za Mtume Muhammad (kama...
Mkuu Upo sahihi. Mwanzo Nilikuwa nasaidia kadri moyo wangu uliponiambia nisaidie but later nikaja kuona it’s a trend. Unamsaidia mtu week hii after two weeks anarudi tena , then anarudi tena… sijui huwa wanawaza nini.
Pia Mbaya zaidi hawaulizi au kuomba mchongo wa kazi, yeye anachojali ni...
Tunatafuta Fundi Magari Makubwa mwenye uzoefu wa kutengeneza Engine na Gearbox za malori na magari makubwa, hususan yale ya Kichina.
Sifa zinazohitajika: • Uwe na uzoefu wa kutengeneza engine za malori na magari makubwa. • Uwe na uwezo wa kufanya matengenezo na overhaul za gearbox. • Uwe...
Mkuu mlishaangalia cancer? Ni vizuri pia kufanya vipimo hivo kama bado hamjafanya ili kuchukua hatua mapema. Pole sana kaka. I can imagine changamoto mnazopitia.
Ila sisi wanaume ni wabinafsi sana! Ingekuwa jamaa amekula rafiki wa girlfriend wake (shemeji wake wa kike) naamini angesifiwa humu.
Ila kwasababu Kala demu wa mshkaji wake eeeh anaitwa snitch nk nk! Waswahili hawakukosea “kunya anye kuku akinya bata aaahaaa ameharisha 😀)
NB: siungi mkono...
Mkuu hili jibu lako m-quote huyo shekhe mwanzisha mada.
Anawaonea wivu Wakristo kuwa wao hawatepewa mabikira 72 Kama wao, now anataka Wakristo wapewe 100 kabisa.
Unafurahisha sana chief. Kwa wanawake hawamiliki nyumba?
Nyie Kama mnapewa mabikira wenu 72 wewe wawahi kabla hawajaisha.
Nenda kasome luka 20, mstari wa 34-36
“Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule...
Kwa hiyo injili inawahusu wanaume tu? Au tukifika hapo tuseme this is only for men chapter?
Mchungaji wenu Ndo alivowafundisha hivo nini mkuu?
Endelea kuitafsiri biblia kwa maana zako lakini! Good luck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.