Recent content by Kamanda Moshi

  1. Kamanda Moshi

    Maswali na majibu kuhusu ukaguzi wa askari wa barabarani

    Shida ni ukaguzi kila siku kila njia na zaidi ya kituo kimoja. Mfano unatoka mlimani city kwenda Tegeta via goba, utasimamishwa zaid ya Mara tatu minimum kukaguliwa “wanakagua nini”? 1. Utasimamishwa hapo Ardhi kwenye Kona kutoka tu survey then 2. Utasimamishwa baada tu ya Makongo mwisho pale...
  2. Kamanda Moshi

    Mirambo arithi mikoba ya Profesa Lipumba CUF

    Hivi CUF ni chama cha dini flani tuuu? Hata kuzuga zuga kidogo wameshindwaaa? 😳😳😳🤪
  3. Kamanda Moshi

    Nini kinachangia makampuni ya mabasi kufa, pindi waasisi wanapokufa au kuwaachia watoto?

    Mzee Mtei yupo hai chief. Waliokufa ni wanawe wawili watatu hiviii! Ila mzee bado yupo!
  4. Kamanda Moshi

    Ndoa miaka 11 naomba ushauri

    Sijui kuhusu familia yako but kwa wewe kama wewe ni kweli you are an idiot!
  5. Kamanda Moshi

    Warangi Mnawaonea. Ukikataliwa na Mkenya Kaoge maji ya baharini🤣🤣

    Upo sahihi mkuu! Yaan utajipigia mpaka uchoke! Wakinogewa katikati ya game wanaongea kilughaaa.
  6. Kamanda Moshi

    Nini kimemkuta Idris Sultan?

    Kaibiwa bwanaaaa? 👂🏾🥵🥴🤐😪🫨
  7. Kamanda Moshi

    Je, unaweza kujamiiana na dada yako au kaka yako?

    Kuna mambo ya ajabu sana humu duniani!
  8. Kamanda Moshi

    Nasumbuliwa na tatizo la low blood pressure

    Nenda hospital kubwa kapime na upate ushauri! Unachoeleza hapa ni kama vile ni dalili za angina… Fika mapema hospital kubwa kupata vipimo na ushauri, kumbuka huo moyo wako Ndo engine nzima ya mwili wako.
  9. Kamanda Moshi

    Ukifikia hatua ya kumiliki biashara inayohitaji angalau wafanyakazi watano basi utagundua wachina, wahindi na waarabu husingiziwa bure tu

    Jidanganye…. Kiufupi tuna nchi isiyofundisha uaminifu na kuchapa kazi! Tunachotamani ni ujanja ujanja na kupiga bata
  10. Kamanda Moshi

    Wale wakongwe, haya magari mliyabatiza majina gani shule uliyosoma?

    Kulikuwa na Katara (lile kubwa) halafu kale kadogo alichokuwa anatumia head master kaliitwa Benga …. Hii ni Moshi Technical secondary school
  11. Kamanda Moshi

    BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Ni kweli, leo nimetafuta BBC bila mafanikio. Sasa kama wao hawahusiki why matangazo yalikatwa? Hii ni ajabu lakini…
  12. Kamanda Moshi

    Naomba Ushauri: Mwanamke wangu ananiambia mtoto si wangu

    Sasa kama ulisingiziwa mimba hutaki? Unataka nini? Au mkuu huna uwezo wa kubebesha mimba tena? Kiukweli unataka kushangaza chief !
  13. Kamanda Moshi

    Polepole: Wale wote mliojitoa kuipigani Tanzania tuwe makini sana, muiandaji yupo huko nje anawatafuta kutudhuru

    Let’s assume vyombo havihusiki kwenye haya, then swali linakuja Mbona wanaofanya haya hawakamatwi? Compromised? Not effective? Binafsi sijui jibu sahihi kwenye hayo mawili!
Back
Top Bottom