Dar es Salaam
WAFANYAKAZI 51 waliopunguzwa kazi na Kampuni ya New Habari 2006 Ltd wameshindwa kufikia muafaka na mwajiri wao katika Tume ya Usuluhishi wa migogoro kazini (CMA) Kanda ya Dar es Salaam.
Kampuni hiyo ambayo Ofisa Mtendaji wake Mkuu ni Mbunge wa Nzega Mjini na Naibu Waziri wa...
Habari zilizotufikia leo jioni ni kwamba yule Mhariri mtendaji Charles Mulinda (DIRA) Fisadi alitoroka na kitita cha shilingi milioni 30 za Alex Msama (Bw. PEPSI). Inasemekana huko alikoelekea ambako Msama anadai ni kwa Mafisadi wenzake hivi sasa wako kwenye mkakati wa kumlipa Msama fedha zake...
Habari zilizotufikia wiki iliyopita zinadai kwamba mmiliki wa Gazeti la DIRA ya Mtanzania Alex Msama amemtimua Mhariri mtendaji wa gazeti hilo Charles Mulinda kwa madai kwamba ana uhusiano wa karibu na MAFISADI, tetesi hizo zikaendelea kutiririka kwamba Mhariri huyo hivi sasa ametimkia kwa...
Thomas Kashililah na ufisadi wa kutisha bunge
Kwa waliosoma ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh, naomba wanisaidie katika hili.
Nimewahi kulisoma katika gazeti moja juu juu, nikajua kuwa lina mwendelezo kutokakana na unyeti wake, lakini ajabu ni kwamba...
Thomas Kashililah na ufisadi wa kutisha bunge
Kwa waliosoma ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh, naomba wanisaidie katika hili.
Nimewahi kulisoma katika gazeti moja juu juu, nikajua kuwa lina mwendelezo kutokakana na unyeti wake, lakini ajabu ni kwamba...
Freeman Mbowe ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi, aliyejizolea umaarufu kupitia kauli yake ya kilio cha umasikini huku akiweka mikono yake kichwani kama ishara ya kulia.
Na hii inatokana na kile kinachoonekana kwake kwamba watanzania wengi...
Inakera sana mtu anapofanya kazi kwa bidii na uaminifu huku akitegemea malipo ya SINTOFAHAMU nalipwa lini? Hii ni habari ambayo nina uhakika nayo kwa 100%. Wafanyakazi wa kampuni ya FREEMEDIA inayochapisha Gazeti la Tanzania Daima na Sayari mpaka sasa hawajalipwa mshahara wao wa January, ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.