Dr. Bashiru umekuwa muwazi nasema songa mbele bila woga okoa chama kuondoa wrote wasiokitakia mema chama NA kuwapasha wale kupandikiza chuki zisizokuwa na Tina ila kutaka kupakazia serikali ionekane mbaya. Dr songa mbele bila woga.
Jamani naomba MTU andika kitu ambacho in cha kuelimisha NA si kudanganya watu au kuchonganisha. Historian in kitu cha msingi sana uwezi kusimulia historia ya kugesigesi. Maneno uliyopost in hatari sana ambavyo unaweza ukazulisha vita isiyomalizika.TAF. hakikisha unapata taarifa za kweli NA ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.