Mr. Naibu waziri mkuu na Waziri wa nishati, safisha shirika lako la tanesco. Hamna mtaalamu wa IT? Ebu tafuta deni la kodi ya Jengo uone majibu yake kwenye website ya shirika:
https://www.tanesco.co.tz/customer-services/property-tax
Kama nilisikia vizuri Lisu, katika uteuzi wa nafasi za wajumbe wa kamati kuu aliacha nafasi moja wazi na alisema ameiaccha kwa wale watakaopata ajali za kisiasa kutoka vyama vingine kama yaliyokuwa yamewapata akina Sumaye.
Je si Msigwa huyo?
https://www.youtube.com/watch?v=_BB3bKeLYlo
Mnapitiliza, kwani mlitaka Mbowe ndiye aende theatre? Sikubaliani na wote kugombea uenyekiti - wamuombe Mnyika ashike nafasi hiyo maana hawa wawili wameshakigawa Chama
Kwangu mimi niliyewahi kumuuguza mwanangu hadi anakaribia kufariki, mtu yeyote hata yule aliyenitia nguvu za kustahmili uchungu ule, namuona kama muokozi wa mwanangu.
Kinachoponya mgonjwa katika hali kama ile ni mengi. Kwa kesi ya Lisu Kuanzia yule aliyemtoa pale alipopigiwa risasi...
Hii sekretariat ina shida.
Naona matanganzo ya kuitwa kwenye ajira kila halmashauri inatoa tangazo lake. Tutakuwa na matangazo zaidi ya 100!
Kwa nini wasitoe tangazo moja lenye orodha yote na vituo walikopangiwa? Halafu wote wanatakiwa kwenda kurundikana Dodoma kuchukua barua! Huu sio mwanya wa...
Nakumbuka rais aliwahi kusema kuwa .... wametembea wee, lakin wamepata nini!! Akimaanisha kuwa waliwaaacha wakaamdamana lakini hakuma walichopata. Busara hiyo hiyo ingetumika umaarufu wao ungepungua.
Nakumbuka kisa cha Nadhani alikuwa Kambona anarudi Tanzania. Wakati huo waziri wa mambo ya ndani...
Je hii source ni genuine?
https://ajirakazi.co.tz/news/tcu-announces-list-of-multiple-selected-applicants/
Japokuwa wanadai ni TCU list, bado hiyo link haikupeleki TCU bali ajirakazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.