Acheni mambo ya kutuona kama wote hapa hatutumii akili za ziada,
Naomba mtuthibitishie hapa hiyo follen iko wapi, picha za collage ndo mnaita foleni.
Pili hiyo foleni inapangwa kwenye session gani kwenye shughuli za kibunge?
Kuteka kambi ya jeshi sio kitu kidogo,
Ujue vita inapotokea ni opportunity kubwa sana kwa baadhi ya watu, wananufaika na vita inayoendelea kwenye nchi zenye utajiri wa vitu flani
Mkuu lazima kwenye masuala ya maendeleo tuwe na uchu,
Kuhusu safari za ndege nakubaliana na wewe, lakini ukija kwenye hoja yangu ya sisi kuchelewa kwenye masuala ya kitalii utakubaliana na mimi,
Hawa wenzetu walianza kujitangaza mapema wakati sisi bado tuko usingizi wa pono, yawezekana hao...
Bado suala liko pale pale tu mkuu, mimi ni mtanzania lakini sio lazima nitetee kila kitu kuhusu nchi yangu hata kama ninkibovu,
Wakati kenya wanajitangaza sisi tulikuwa wapi na tulikuwa tunafanya nini?
Ni udhaifu wetu watanzania kutokuwa na viwanja vya kupokelea wageni, kwa nini na wakenya wasifanye wanavyotaka?
Imagine mtalii anakuja Tanzania lakini anatua na ndege Kenya halafu ndo achukuliwe na gari hadi Tanzania, tena eti gari la Tanzania, wazuiwe tu ili viongozi wetu wajifunze,
Binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.