Recent content by Kam341

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliponadi Sera na Kuomba Kura kwa Wananchi wa Mlowo Jimbo la Mbozi Mkoani Songwe akiwa njiani kuelekea Mkoa wa Mbeya kwenye Mikutano ya Kampeni za...
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Karibu tena Songwe Mh. Rais kwa mamb mengi ulifanya mjini Songwe
  3. K

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Anatapatapa masikini Ameshapoteza uwelekeo, uchaguzi upo pale pale
  4. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    Sio ujinga
  5. K

    JamiiForums Tanzania Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    POlepole nikiumbe kinachotakiwa kipuuzwe na kitengwa na jamii
  6. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    Kiongozi wapo wengi mnoo na wenye uweledi
  7. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    Atasikia
  8. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

  9. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    Ndio tunasubir octobertutiki✅
  10. K

    JamiiForums Tanzania Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa. Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33...
  11. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Hakika leo morogoro kuliitika vyema Dkt.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha watanzania #Haijapatakutokea #KurayakwanzaKwaSamia
  12. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    Serikali inayoongozwa na awamu ya Sita Dkt.Samia Suluhu Hassan(SSH)amesema atagharamia vipimo takriba watu 100 kuwapatia matibabu wasiokuwa na uwezo.Hasa wale wenye magonjwa yasiyoambukizwa mfano Moyo,kisukari na Figo #Haijapatakutokea #Tutawashangaza
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS: Tumezungumza mengi na Rais Samia

    TLS KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA - ASEMA ADV. MWABUKUSI Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika ( TLS) Wakili Boniface Mwabukusi leo amekutana na kuzungumza na Rais Samia Ikulu, Chamwino Dodoma. Mara baada ya kikao hicho Wakili Mwabukusi akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Rais afanya kazi ya kupandisha hadhi ya wasanii nchini

    Rais Samia amekua na mchango mkubwa katika sekta ya sanaa na utamaduni,katika kujali na kuthamini Mchango huo ameamua kuanzisha mfuko wa kutoa mikopo kwa wasaniii hadi shilingi milioni 100 kwa kila mmoja,lengo ni kuwawezesha kujiimarisha kifedha na vifaa bora vya kazi. Katika mfuko huu pia kuna...
Back
Top Bottom