Recent content by Kalunde James

  1. Kalunde James

    Elimu Waliyonayo Dada Zetu Vyuo Vikuu Haina Maana

    Kilaza ndo hutakiwa kusaidiwa aidha kimawazo au vngnevyo...naamin ukija kutoka hum utakuwa umepata kitu fulan...ambacho nahc knaweza kukusaidia kwa namna moja ama upande wa pil!!
  2. Kalunde James

    Elimu Waliyonayo Dada Zetu Vyuo Vikuu Haina Maana

    Umepima? Na huyo unayemchezea saiv ataolewa na nan?
  3. Kalunde James

    Elimu Waliyonayo Dada Zetu Vyuo Vikuu Haina Maana

    Ni kwel!!! Maana wengi wao wanaouziwa hawajafka hata kdato cha 5!!
  4. Kalunde James

    Elimu Waliyonayo Dada Zetu Vyuo Vikuu Haina Maana

    Mapenz ni mchezo wa kijiti!!!!! Kama binti anamalza darasa la saba tayar ashatolewa bikra.....unafkr utampata wap ambaye hajawah kuingiliwa?? Matokeo yake ubakaji wa watoto under 10yrs!!!
  5. Kalunde James

    Kufutwa JKT

    Kumbe tena
  6. Kalunde James

    Tigo wameanza tena ule ujinga wao

    Hata airtel...bora waanze kunambia yule nnayemtafuta then wanpgie hayo matangazo yao nami nitachagua kuckilza au la co kunianzia matangazo!
  7. Kalunde James

    Lafudhi

    Viungo hvyo ni pa1 na 1.midomo(wa juu na wa chin) 2.Ufiz 3. Koromeo 4. Mapaf na vingne huku vikiongozwa na 5. Ulimi Viungo hv huwa bdo lain sana kipnd cha utoto ni ndo maana mtoto hushka lugha inayomzunguka kwa urahc katka mazingira yake!!
  8. Kalunde James

    Lafudhi

    Kwa wale black Amercn ambao wamekulia huko (wakiwa wadogo) ni kawaida sana maana mtoto anauwezo wa kujfunza/kuiga lugha yyte atleast chin ya miaka 6 hv...maana viungo vya utamkaji huwa bado vchanga (havjakomaa/ni lain) ni rahc kushka matamsh yyte kwa urahc na ufasaha tofaut na mimi au wewe!!!
  9. Kalunde James

    Ipi Sahihi: Naibu wa Spika au Naibu Spika?

    Neno Naibu spikaasil yake ni Naibu wa spika ambalo limefanyiwa mabadiliko ya kimaumbo ktk umbo la ndan na kuondolewa "wa" hvyo kubaki 'Naibu spika' ambalo ni neno moja. Michakato hii ya kubadili maumbo au matamshi katka umbo la nje hulenga kurahisisha matamsh ktk lugha, kwa hali hyo "Naibu...
  10. Kalunde James

    Lafudhi

    katka mazngira ya elimu ni kiwango kiduchu sana mkuu..maana tuna watu wengi sana na degree zao kibao lakin akiongea utajua tu anakotoka!!
  11. Kalunde James

    Lafudhi

    Lugha mama ndio chanzo! Lugha moja hadi nyingne hutofautiana sana hasa kupitia sayansi ya lugha (Isimu)..utofaut huo unaweza kuupata katika 1.Idadi ya sauti za irabu 2.Idad ya saut za konsonant.. Hvyo hata ktka matamsh utofaut utakuwepo tu... kwa hapa TZ..katika lugha za makabila yetu mara...
Back
Top Bottom