Habari zenu wanajukwaa, Nawapongeza kwa ushauri chanya ambao mmekuwa mkitoa katika jukwaa hili.Nilitaka kujua kama kwa mfumo wa elimu yetu Tanzania unaruhusu mtu kusoma bachelor degree zaidi ya moja, kwa muda sawa (simultaneously). Mfano uko chuo fulani unaendelea na masomo na kujisali kusoma...
mkuu mimi kwa uelewa wangu nadhani kama ulivyosema, kinyume chake ni sahihi kwa sababu muundo wa utaratibu wa kujifunza kwa ngazi ya diploma ni tofauti kidogo na degree hivyo diploma wanakuwa competent sana kiutendaji ukilingananisha na degree. Namaanisha wana muda wa kutosha kujifunza vitu...
katika maonesho ya nanenane huko lindi, vijana WA Veta kipawa wanaonesha hiyo technology ya sensor za unyevunyevu WA udongo
katika umwagiliaji WA kisasa, unaweza kuwacheki
ni kweli lakini bado tunazitumia na zinakidhi matakwa yetu, mfano nina N73 toka 2008 hadi sekunde hii, ukiachana na wi-fi ina feature nying for internet normal user,music,picture,office nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.