Recent content by Kalpana

  1. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache kutengeneza taharuki. Kama Nchimbi ana shida familia yake ingesema

    Hyo picha yake nimejikuta napatwa na huruma na huzuni ndani yake....
  2. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Nipo hapa mpaka tarumbeta
  3. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Wanaume kama mabinti! Konda wa daladala akiuliza iwapo kuna mtu anataka kushuka kituo kinachofuata, utasikia mwanaume mzima anasema, 'SHUSHAAA!' 🤮

    Wa kwetu unanichimba 😅😅🤣🤣🤣🤣 Mimi Simba mpaka nife..ila kwa sasa ngoja tuangalie kwa mbali
  4. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Mganga wa kienyeji ila na mix na vya kizungu kidogo 😄
  5. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Sio daktari mimi...labda daktari wa mtaani
  6. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    Kweli kabisa
  7. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    😅
  8. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    Mm naona kam tiktok vifo vimezidi au ndo hao hao wa FB maana mimi sina akaunti FB...ila tiktok daily utakuta kifo cha mtoto au kijana sijui mtandao una mapepo ule
  9. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Boma linapatikana kwa mauzo – Kimanzichana, Mkuranga

    Kimanzichana sio mbali sana kutoka mjini kati? Ningenunua 😊
  10. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Shida hilo jina la ciprofloxacin halijatrend..... Ila ndo strong antibiotic kwa ajili ya mfumo wa mkojo na zingine zingine
  11. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Mimi ni jasusi....njoo inbox😊😊😊😊
  12. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kweli ni ngumu! Mtangazaji wa Crown FM apata homa akiwa anawahoji wageni waliomshtukiza studio

    Sijui kwanini wabongo wanaogopa kukosea kiinglish...
  13. Kalpana

    JamiiForums Tanzania Nadhani huu ukumbatiaji wa wicknell kwa rais wa nchi haujakaa kiprotical , amemkumbatia vibaya na sidhani dini kama inaruhusu.

    Huo ukaaji wa huyo jamaaa kama yupo kwa mchepuko...
Back
Top Bottom