Hakuna biashara Mkuu,bona maelezo yanajitosheleza? shida iko wapi kuelewa na kuwaza mambo yasiyohusiana. Watanzania tuna kazi sana aisee. Hiyo iko chini ya Wizara ya mambo ya nje na balozi za nje.
ingia account yao ya twitter Ubalozi Youth Forum (@UbaloziYF) | Twitter
kweli kabisa, mimi sihusiki ila nimeona umuhimu wa ku-share taarifa na wenzangu huenda wakanufaika kwa ku-share kwangu tu. kuliko kushare kila siku vichekesho au nimekosea Mkuu
Fursa nzuri kwetu vijana kwa fursa hizo zitakazopatikana, na fursa kwetu pia kubadilishana mawazo na uzoefu.
Kama sio wewe mjulishe mdogo wako, kijana wako au mwanao fursa hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.