Recent content by KalistusM

  1. K

    Makinikia: Wanaume wameshamaliza kazi. Kinachojadiliwa sasa ni kuona wanatuachaje

    Mkuu mbona una maneno ya dhihaka namna hiyo
  2. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    Ahsante, japo ningefurahi na wewe ukawepo nikuone
  3. K

    Makinikia: Wanaume wameshamaliza kazi. Kinachojadiliwa sasa ni kuona wanatuachaje

    Ni kweli Mkuu, amejaribu kwa kiasi kikubwa tu.
  4. K

    Makinikia: Wanaume wameshamaliza kazi. Kinachojadiliwa sasa ni kuona wanatuachaje

    sio mbaya, tutalipa madeni ya wafanyakazi, pia zingine zitaenda kwenye miradi.
  5. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    Hakuna biashara Mkuu,bona maelezo yanajitosheleza? shida iko wapi kuelewa na kuwaza mambo yasiyohusiana. Watanzania tuna kazi sana aisee. Hiyo iko chini ya Wizara ya mambo ya nje na balozi za nje. ingia account yao ya twitter Ubalozi Youth Forum (@UbaloziYF) | Twitter
  6. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    hakuna malipo ni bure, nenda kwenye Acount yao ya Twitter Ubalozi Youth Forum (@UbaloziYF) | Twitter . Mda mwingine muache mawazo ya kishamba
  7. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    kweli kabisa, mimi sihusiki ila nimeona umuhimu wa ku-share taarifa na wenzangu huenda wakanufaika kwa ku-share kwangu tu. kuliko kushare kila siku vichekesho au nimekosea Mkuu
  8. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    Wakuu mbona maelezo yapo kwenye hizo picha? Hardbody man well
  9. K

    Fursa mbalimbali kwa vijana wenzangu, si ya kukosa hii

    Fursa nzuri kwetu vijana kwa fursa hizo zitakazopatikana, na fursa kwetu pia kubadilishana mawazo na uzoefu. Kama sio wewe mjulishe mdogo wako, kijana wako au mwanao fursa hii
Back
Top Bottom