Sirocco: Nokia yaunda simu imara zaidi duniani ya Android

Sirocco: Nokia yaunda simu imara zaidi duniani ya Android

haijajulikana implementation yake itakuaje mkuu.

mfano wanaweza wakaweka mfumo line moja inaweza ikawa na namba 5. hivyo unaweza ukasajili zote tano na ukazi switch na app tu, wakaweka maximum zinazokuwa active ni 2. implementation yake ndio itakayoamua kama ni njia nzuri ama la.
k
Kama wataweka mfumo wa app ku-switch line hapo itakuwa rahisi sana kuliko sasa, cha muhimu wasije wakaleta mfumo wa kufanya activation kwenye makampuni ya simu kila unapohitaji kufanya hivyo bali activation ifanyanyike mara moja ila ku-switch mtandao afanye mwenye simu kupitia app
 
Simu ambayo Nokia wameilenga ili wapate pesa nyingi ni NOKIA 7 plus hii simu itakuja na battery yenye mAh 3850 li-on advanced itakuwa uwezo wa kukaa na chaji siku 2

Kuhusu camera ndiyo balaa zaidi itacompete na flagships.naisubiri hii simu kwenye mwezi july
Shilingi ngapi za kitanzania?
 
Natamani kupata IPhone 6S+ 64GB Genuine naombeni mnisaidie wataalaam niandae Tshs ngapi? Kuipata
 
Back
Top Bottom