Unajaza fullscape nzima utumbo aisee,kama sio mwenzenu aliingiaje kwenye chama chenu? Mwashambwa punguza uchawa wewe na ndo maana hujaenda msibani kwa mjomba Mpoto!
dawa ni kutokushiriki uchaguzi tu mpaka watakapo rekebisha hayo mabadiliko ya katiba na kuwashinikiza polisi wawakamate wale wote walioshiriki vitendo vya utekaji na mauaji ya raia wanaokosoa!
fikiria ni wewe umelipwa hiyo fedha je utaikataa! mie nafikiri elimu ingetolewa kwa wale wenye tabia ya kuchafua fedha waache lakini sio kukamata watu watakao kutwa na fedha yenye maandishi hayo! kwani wengine ukute wamepokea malipo kutoka kwa watu wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.