bwana Salvatory magafu, mi naona wewe si kiongozi bora, hata hivyo hao waliokuchagua wakisoma hii post yako ndo mwisho wako wa uongozi, unawalisha wa Tanzania matango mbichi, kisa umepokea vijisenti, usiendeshe siasa za njaa na wivu, kisa john heche analipwa, kwa mtazamo wa haraka, je nirahisi...