kalimanzilah
Member
- Nov 22, 2012
- 6
- 2
Umeme imekuwa tatizo sugu, katika nchi yetu, unakatika bila taaria unarudi, unakatika imetuunguzia vifaa vya thamani kubwa sana, machine za huduma ya afya, yenye thamani ya karibia milion 250, sasa hii ni nchi ya namna gani, samples za utafiti, test 900 ambayo kila kimoja kinagarimu US $ 150. sina hamu, bado watawala hawataki kuruhusu makampuni binafsi yauze umeme direct kwa wananchi, mpaka wauziwe tanesco wapate dowans na richmond, nyingine. kazi ipo.
kero yangu jamani na wasilisha
kwa wanao jua sheria tusaidieni
kero yangu jamani na wasilisha
kwa wanao jua sheria tusaidieni