Tanzania umeme (TANESCO)ni janga linalonyemelea kuangamiza taifa kiuchumi

TANESCO kwenda kubwaka hizo feasibility study Wizarani na kusubiri serikali kufanya jambo, hili ni tatizo la utendaji ndani ya Tanesco. TANESCO wanapaswa kufanya feasibility study kwa miradi yao itakayoweza kuendeleza shirika at the same time kutatua matatizo ya umeme, baada ya kukamilika kwa hizo feasibility study na kuona miradi hiyo inalipa wanapaswa kutafuta vyanzo vya pesa na Serikali inabaki kuwa mdhamini ikiwa ni mkopo.
Nimekuelewa mkuu lakini TANESCO bado ni mradi wa serikali wa kibiashara, serikali ilibidi ipressurize hizo inatiative za TANESCO si uliona baada ya kutafuta alternative ya umeme wizara under msukumo wa PM ikaleta hiyo miradi ya DOWANS, AGRECO, IPTL na SONGASS yote ni miradi ya zima moto si ya kudumu!!!!! Kama TANESCO ingelikuwa na power of decisions ingelikataa na kusema kuwa mradi wenye manufa ni huu wa Hydro power wa kuzalisha umeme wa bei nafuu. Hata huyu mkurugenzi mpya alishawahi kutoa data za umeme wa maji wa bei nafuu lakini mawaziri akiwemo Mhs Ngeleja n Raisi wote wanangangania umeme wa majenerator unaotuzamisha kiuchumi!!!!!!!!
 
Nimekuelewa mkuu lakini TANESCO bado ni mradi wa serikali wa kibiashara, serikali ilibidi ipressurize hizo inatiative za TANESCO si uliona baada ya kutafuta alternative ya umeme wizara under msukumo wa PM ikaleta hiyo miradi ya DOWANS, AGRECO, IPTL na SONGASS yote ni miradi ya zima moto si ya kudumu!!!!! Kama TANESCO ingelikuwa na power of decisions ingelikataa na kusema kuwa mradi wenye manufa ni huu wa Hydro power wa kuzalisha umeme wa bei nafuu. Hata huyu mkurugenzi mpya alishawahi kutoa data za umeme wa maji wa bei nafuu lakini mawaziri akiwemo Mhs Ngeleja n Raisi wote wanangangania umeme wa majenerator unaotuzamisha kiuchumi!!!!!!!!

Janga la umeme litaendelea kuitafuna nchi
kwa sababu TANESCO inatumika kama kichaka cha wakubwa kujitajirisha
 
Janga la umeme litaendelea kuitafuna nchi
kwa sababu TANESCO inatumika kama kichaka cha wakubwa kujitajirisha
Mkuu sanjo unaonaje tukilichoma hilo chaka ili wakurupuke toka humo nchi ipate nafuu!!!!!!!!! Miradi yoote ya TANESCO ya kifisadi tutafute data zake kama za EPA ili tuzianike kila mtu aruke mali zake taifa lifikilie kuleta njia mbadala ya kujikomboa kwenye janga la umeme!!!!
 
Watawala wanaweza kutupwa nje ya ulingo kwa njia ya kidemokrasia kama wananchi wataelewa kuwa watawala wao wameshindwa kutimiza ahadi zao. Njia hii inahitaji mabadiliko mengi ya kikatiba, kifikra na kuhuisha uzalendo.
 
Watawala wanaweza kutupwa nje ya ulingo kwa njia ya kidemokrasia kama wananchi wataelewa kuwa watawala wao wameshindwa kutimiza ahadi zao. Njia hii inahitaji mabadiliko mengi ya kikatiba, kifikra na kuhuisha uzalendo.
Pamoja na kujituma pale ambapo wanakataa, kuandamana ni njia ya kidemokrasia pia, gharama zoote tunazolipa doesn't that pro vocal anything?????????? Inabidi tuwaonyeshe kuwa tunajua kinachoendelea kwa wizi wa mchana wa kutukandamiza na kudhulumu fedha zetu!!!!!!!!!!

 
Pamoja na kujituma pale ambapo wanakataa, kuandamana ni njia ya kidemokrasia pia, gharama zoote tunazolipa doesn't that pro vocal anything?????????? Inabidi tuwaonyeshe kuwa tunajua kinachoendelea kwa wizi wa mchana wa kutukandamiza na kudhulumu fedha zetu!!!!!!!!!!

Tusipo pambana hii vita ya umeme tujue kabisa uchumi wa nchi hii utaendelea kudumaa, kuna mradi wa kuzalisha cement kule Kisarawe naambiwa wameshindwa kuanza kwa kukosa umeme, au ughali wa bei ya umeme umezuia kuanza production!!!!!

 
Tanesco ni kitega uchumi cha serikali na milango ya kuiba pesa za walipa kodi ndo maana hakuna nia madhubuti ya kuimarisha miundo mbinu na kuruhusu makampuni binafsi kuzalisha na kuwauzia wananchi umeme direct bila kupitia tanesco, ccm hoyeeeeeeeee! tukutane 2015
 
IPTL iliingia nchini wakati huo JK ni waziri pale nishati na madini 1994. Prof. Muhongo ni racketeer hayupo pale kwa nia ya kutukomboa wananchi
 
Tanesco si janga la kitaita. Janga la kitaifa ni serikali inayoitumia Tanesco kutuibia na kututesa kwa migao inayoturudisha karne ya kwanza. Ni bahati mbaya kuwa wezi hao hao wanaoitumia Tanesco hawaathiriki na mgao kwa vile wamejiwekea majenereta kwenye majumba yao. Wanalihujumu taifa. Ni bora wananchi waamke na kuwapa hard time ili wakose mazingira ya kutawala na kuiba. Janga la pili la taifa ni watanzania wenyewe kukubali kufanyia uhuni wanaofanyiwa na serikali hii ya Richmonduli, EPA, Kagoda na Dowans. Leo unaambiwa kibaka wa Kagoda Rostam naye ni tajiri miongoni mwa matajiri barani.
 
Ili kulielewa tatizo la umeme nchii inatupasa kuielewa hii kampuni ya IPTL. Hujuma zote hizi zimefanyikia kwenye majenereta yao

Cha msingi ni kwamba IPTL kupitia kampuni iliyowauzia majenereta Wartsila walishajilipa kila kitu (equity)kabla hata contract haijaanza. Hawana sababu ya kujipendekeza kwetu tena fanyeni hujuma tani yetu
 
Back
Top Bottom