Simu
Simu ya mwanzo ni Motorola na hii ni Samsung, Nilipo sign kwenye simu mpya majina yalionekana kwa vile yalikuwa kwenye email shida imeanza pale dogo nae alipo sign na acc yake majina yangu kwenye simu yakatoweka na badala yake ya simu ya dogo yanaonekana kwenye simu zote mbili
Habari wataalam.
Nimebadili simu ya awali nikampa dogo.
Cha kushangaza majina yote yangu kwenye simu hii yangu Hayao isipokuwa yale ya dogo yaliyopo kwenye simu yake niliyomwachi ndo na kwenye simu yangu yanaoneka.
Msaada maana hata kwenye simu ya mwanzo siyaoni
Simu yangu inachemka Sana na wakati mwingine inakuwa ipo on ila kioo ni giza hata mtu akinipigia sioni,mpaka niizime na kiwasha tena.Wataalam tatizo ni nini na nini cha kufanya.simu ni motorola i
power
Naomba msaada kwa anayeelewa matumizi ya mashine za EFD kwani TRA wanasisitiza Sana wafanyabiasha kuwa nazo.Mfano mimi mtaji wangu ni laki4 nimeambiwa ninunue mashine nimeulizia mashine yenyewe bei yake laki5 na 90 sasa hapo nachanganyikiwa na kutokuelewa intention ya hawa maafisa wa TRA kama...
Nikimpata anaetengeneza ili akaniambia kilo moja anatoa glass ngapi ingependeza zaidi.
Maeneo ambapo nimeona ukwaju mwingi wanauza kwa mafungu hivyo ninampango nikikamilisha kazi iliyonileta huku nichukue mafungu kadhaa nikayapime ili nijue kilo moja ni mafungu mangapi na kwa huku itakuwa...
Naleta kwenu wazo la biashara.Naomba mtu ambae anaweza akapata soko la uhakika la ukwaju wa asili tufanye kitu cha maana kuna sehemu nimepita nimekuta upo wa kutosha.
Nikajiuliza akina Azam wanapiga hela kwa ukwaju wa kuweka flavour tu,je kikiwa kitu asilia?!karibu kwa kuboresha wazo langu
Asanteni wataalam wetu nimeset tv yangu imekubali ila channel zingine inaandi No CI module nafanyaje ili ambapo station inaonekana ipo ila picha haziji
soura anaongoza kundi D akifuatiwa na al ahal tatu AS vita na simba wa tano.yeyote kundi hili bado ana nafasi ya kifuzu robo fainali game za mwisho ndo determinant
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.