Recent content by Kali _D

  1. K

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

    acha uwoga taja ofisi watu washughulikiwe. kuficha ficha huko ndo unaendelea kulea huo ugonjwa.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

    Nani amekwambia sniper anaangaika na mwili? kichwa ndo mambo yote.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Gharama ya Kurudia kupaka rangi nyumba

    Mimi pia nitumie namba nina kazi kama hiyo. tfadhali.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu

    Baraza la mawaziri is loading......
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu

    Madaraka yanaweza kufanya ujisahau na kuvimba.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu

    Kauli alizotoa spika wa Bunge dhidi ya Mikopo ya maendeleo serikali awamu ya sita zinazotafsiriwa kama ni za kutaka kukwamisha jitihada za maendeleo ya wananchi anazofanya Rais ambaye ni na mwenyekiti wa chama chake ka kaulinza Rais leo juu ya alichofanya Ndugai anapaswa kujiuzuzu kwani...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mnaohubiri stand ya Mbezi mnaboa

    Vipi mtaani kwako madarasa yamekamilika?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Pepsi imepotea madukani

    Kinywaji cha soda aina ya pepsi kimeadimika katika maduka mbalimbali Jijini Dar es Salaam. Ni vyema hatua za haraka zikachukuliwa kunusuru hali hiyo hasa tunapoelekea katika kipindi hichi cha sikukuu za mwisho wa mwaka.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Chadema Digital yaingia Jimbo la Mbarali , Umati wajitokeza kujisajili

    Labda sijaelewa. hao watu 27 katika jimbo zima ndo wanaweza kuwakosesha watu usingizi kweli? labda awe na stress nyingine.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

    Sio kwa Tanzania ya sasa ambayo watu wengi wana uelewa na uwezo wa kufuatilia na kupambanua mambo. Mimi naamini Makamba kateuliwa kama njia ya kuifanya Tanzania itoboe kimaendeleo.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

    Ni sawa kabisa. nawapongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa hatua hiyo. Yaani mnataka mfanye uhalifu halafu mkimbilie Kanisani na Polisi wawatizame tu? Msituchafulie kanisa, Msituchonganishe na Jeshi la Polisi Tanzania. Kama ni muhalifu utakamatwa popote utakapokuwepo.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

    Peleka ujinga huko. Kungekuwa hakuna demokrasia ungeweza kupata hata nafasi ya kuandika huo uchafu?
Back
Top Bottom