Recent content by kalemauji

  1. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Umri ni namba lakini sioni kama ni sahihi mzee wa miaka 79 kuoa binti under 20

    Kama wameridhiana na kama hakuna sheria, kanuni wala taratibu iliyokiukwa hakuna shida yoyote kuliko binti kukaa bila kuolewa na kuingia katika uzinifu.
  2. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mbinu mpya ya Utapeli Mjini: Mfanyabiasha usitume au kukabidhi Mzigo kwa kuangalia Screenshot ya Risiti!

    Hii taarifa sidhani kama ina ukweli wowote, yani atapeliwe kizembe hivyo bila kuhakiki kama pesa imeingia kwenye akaunti, katika huu ulimwengu ambao benki tunatembea nazo viganjani.
  3. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

    Huyo mtu yuko vizuri sana, PUGU SECONDARY EGM 2005 - 2007...............TANZANIA ONE.
  4. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Hii kitu ilishawahai kutokea kwa jamaa zangu wa karibu, walijidai kichwa ngumu wakati mzee wao akiwa mgonjwa matokea yake wakapishana na Wosia halafu wao ndio watoto wakubwa.
  5. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Comrade nadhani unazijuwa familia zetu za Kiswahili zikishajuwa kuwa kuna jambo litakunufaisha mbeleni lazima wawe na roho za korosho. Ukiona mpaka binti ameamuwa kutafuta msaada kwa umma basi ujuwe hali ni tete sana.
  6. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Comrade makosa ya baba hayawezi kuhamia kwa mtoto, kama kuna namna ya kumpatia msaada apatiwe tu msaada kwa maana hili linaweza kutokea hata kwa wanao au jamaa zako wa karibu.
  7. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    hahahahhahaha
  8. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    hahahhh ukweli kabisa aisee
  9. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Comrade jipe moyo cha msingi umeweza kuzungumza ndani ya chumba cha usaili, kwenye usaili Panelist huwa wanazingatia vitu vingi sana.
  10. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Yanga yamuwekea ngumu Mzize kwenda Al-Masry

    Football ni biashara, umri wa Mzize bado anacheza kwenye 20+ huwezi kuuza mchezaji wa umri huo kwa bei ya kukurupuka.
  11. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Yanga yamuwekea ngumu Mzize kwenda Al-Masry

    Kwa ushauri tu Mzize anapaswa kuibadilisha menejiment inayomsimamia kwani imefeli kwa kiasi kikubwa sana, kwani imeshindwa kutambuwa kwamba Clement Mzize ni bidhaa ndani ya Young Africans, na siku zote mwenye bidhaa ndio muamuzi wa mwisho wa kuangalia wapi auze bidhaa yake na nani wa kumuuzia...
  12. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Hakuna muislam anayekula kitimoto isipokuwa kwa dharula.
  13. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    ok hapo ni sawa, nimekuelewa
  14. kalemauji

    JamiiForums Tanzania Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Kwa hiyo hati ikiwa na lamination inakuwa ni feki? Jamaa hebu tupe elimu juu ya hili, mimi nichojuwa hati ni namba na sio lile karatasi, cheti ni namba na sio lile karatasi.
Back
Top Bottom