Kwa ushauri tu Mzize anapaswa kuibadilisha menejiment inayomsimamia kwani imefeli kwa kiasi kikubwa sana, kwani imeshindwa kutambuwa kwamba Clement Mzize ni bidhaa ndani ya Young Africans, na siku zote mwenye bidhaa ndio muamuzi wa mwisho wa kuangalia wapi auze bidhaa yake na nani wa kumuuzia...
Kwa hiyo hati ikiwa na lamination inakuwa ni feki? Jamaa hebu tupe elimu juu ya hili, mimi nichojuwa hati ni namba na sio lile karatasi, cheti ni namba na sio lile karatasi.
KUWEKA LAMINATION HAKUNA SHIDA COMRADE KWANI CHETI NI NAMBA ILIYOPO KWENYE CHETI NA SIO LILE KARATASI, KAMA UMEWEKA LAMINATION NI VIZURI SANA HIYO NI NJIA MOJAWAPO YA UTUNZAJI WA NYARAKA MUHIMU KAMA CHETI, INAPENDEZA SANA KWA KUJARI NYARAKA ZAKO. KUHUSU HABARI YA KWENDA MAHAKAMANI KWAMBA...
Sipingani na hoja yako kwani imejielekeza katika namna ya kujali na kuheshimu huduma za binadamu zenye kuleta manufaa kwa wanufaika, lakini watu hawa watakaochimbiwa visima na kuboreshewa huduma za Afya bado watakuwa na ulazima wa kuabudu, bado watakuwa na ulazima wa kutekeleza yale yote...
hahahahaah daah sio poa inafikia kipindi hata wao pia utumishi huwa wanawakariri watu kabisa mpaka maeneo unayotokea ila utafutaji una mambo mengi sana ya kukumbukwa.
yes, huwa wanaangalia na kuzingatia vitu vingi sana, kuna wakati ile unaingia tu katika chumba cha mahojiano hata maswali hujaanza kuulizwa utaona tayari wameshashika peni na kuanza kuandika, kwa hiyo kuna maeneo mengi wanayoyazingatia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.