Recent content by kalemauji

  1. kalemauji

    Yanga yamuwekea ngumu Mzize kwenda Al-Masry

    Football ni biashara, umri wa Mzize bado anacheza kwenye 20+ huwezi kuuza mchezaji wa umri huo kwa bei ya kukurupuka.
  2. kalemauji

    Yanga yamuwekea ngumu Mzize kwenda Al-Masry

    Kwa ushauri tu Mzize anapaswa kuibadilisha menejiment inayomsimamia kwani imefeli kwa kiasi kikubwa sana, kwani imeshindwa kutambuwa kwamba Clement Mzize ni bidhaa ndani ya Young Africans, na siku zote mwenye bidhaa ndio muamuzi wa mwisho wa kuangalia wapi auze bidhaa yake na nani wa kumuuzia...
  3. kalemauji

    Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Hakuna muislam anayekula kitimoto isipokuwa kwa dharula.
  4. kalemauji

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    Kwa hiyo hati ikiwa na lamination inakuwa ni feki? Jamaa hebu tupe elimu juu ya hili, mimi nichojuwa hati ni namba na sio lile karatasi, cheti ni namba na sio lile karatasi.
  5. kalemauji

    Naombeni elimu kuhusu kuweka lamination kwenye vyeti vya shule na hati ya kiwanja

    KUWEKA LAMINATION HAKUNA SHIDA COMRADE KWANI CHETI NI NAMBA ILIYOPO KWENYE CHETI NA SIO LILE KARATASI, KAMA UMEWEKA LAMINATION NI VIZURI SANA HIYO NI NJIA MOJAWAPO YA UTUNZAJI WA NYARAKA MUHIMU KAMA CHETI, INAPENDEZA SANA KWA KUJARI NYARAKA ZAKO. KUHUSU HABARI YA KWENDA MAHAKAMANI KWAMBA...
  6. kalemauji

    Mbinu za kusave pesa yako

    Ubarikiwe sana, yote uliyoyaeleza hapa ni mambo ya msingi sana.
  7. kalemauji

    Kwa sasa Makanisa na misikiti inatosha , ikiwa kuna taasisi inahitaji kutoa Msaada wa kujenga Kanisa na Msikiti hiyo pesa wajenge visima vya maji

    Sipingani na hoja yako kwani imejielekeza katika namna ya kujali na kuheshimu huduma za binadamu zenye kuleta manufaa kwa wanufaika, lakini watu hawa watakaochimbiwa visima na kuboreshewa huduma za Afya bado watakuwa na ulazima wa kuabudu, bado watakuwa na ulazima wa kutekeleza yale yote...
  8. kalemauji

    Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

    hahahahaah daah sio poa inafikia kipindi hata wao pia utumishi huwa wanawakariri watu kabisa mpaka maeneo unayotokea ila utafutaji una mambo mengi sana ya kukumbukwa.
  9. kalemauji

    Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

    yes, huwa wanaangalia na kuzingatia vitu vingi sana, kuna wakati ile unaingia tu katika chumba cha mahojiano hata maswali hujaanza kuulizwa utaona tayari wameshashika peni na kuanza kuandika, kwa hiyo kuna maeneo mengi wanayoyazingatia.
  10. kalemauji

    Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

    Mpaka hapo jiandae kwa Placement ndugu yangu, hicho ni kiashiria kwamba yajayo yanafurahisha.
Back
Top Bottom