Nimetafakari kwakina na kufanya uchunguzi nikagundua lengo la ccm nikuendeleza mbinu za kuisambaratisha chadema,kama mtakumbuka swala la udini,ukanda,uchaga,kadi dr slaa,kufunguliwa kesi ovyo,ugaidi,tindikali,kuvuluga halmashauri zinazo ongozwa na chadema,kunuua viongozi,kutekwa pamoja na uonevu...