Kariakoo kuna duka karibu na petrol station ya BigBon' wanauza vifaa vya michezo vya aina nyingi pamoja na hivo......
Pia kuna duka lipo sinza madukani.
Kutwa
Nimewahi kushuhudia aftermath ya radi ambayo ilipigia kwenye huu mti na kuucharanga kama inavoonekana kwenye picha........ hapo ni Masasi mkoani mtwara shule ya msingi sabasaba pia iliuwa mwanafunzi mmoja wa darasa la kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.