Wakishua tu: Ipi sentensi sahihi kati ya hizi mbili?

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,585
Hii inawahusu wale tuliokuwa tunawaita wa kishua enzi zile

20131105_--53.jpg.450x0_q85.jpg


Wale wa St Kayumba wenzangu tulieni kama tulivyokuwa tunatulia shule zisizo na walimu wakati wa debate

Wale ambao wakati me nipo shule ya msingi Minazi Mirefu nyie mlikuwa mnasoma Olympio,Diamond,Heritage au tusiime na zinazofanana na hizo Ndio nawataka mnijibu hapa

10671399_588319254613851_5615997445119658005_n.jpg


Nataka nyie mliokuwa mnasoma wanafunzi 45 dasarani kila mtu kiti na meza yake wakati sisi darasan tulikuwa 120 ukiongeza na Mwl tulikuwa 121 ndio mnijibu.

Hili swali nataka mjibu nyie mliokuwa mnavaa uniform za rangi rangi wakati sisi tulipovaa rangi mbili tu ambazo ni blue (chini) na nyeupe (juu) ndio mjibu.

Najua mpo humu wale ambao uji wa maziwa mlikuwa mnakunywa shule,Ndio nawataka mnijibu hapa.

Nyie ambao mnadhani madumu ya mafuta ya korie hayawezi kutumika kubeba mji kupeleka shule ndio mnijibu hili swali.

Nyie ambao hamjawahi kuwasalimia walimu kwa kuweka kidole gumba juu ya kichwa na vidole vingine vikiwa vimenyooshwa wakati wa kumsalimia mwalimu ndio mnijibu

Nyie ambao kingereza kwenu ilikuwa sio tatizo ila tatizo kubwa ni hesabu ndio nahitaji majibu yenu hapa leo hii

Nyie ambao hamkuwahi kupanda daladala na mbolea kupeleka shule ndio mnijibu hili na msikose tafadhali

Nataka swali hili lijibiwe na nyinyi mliokuwa waongeaji kwenye debate tulipokutana sec tukawa tunawashangilia bila kuelewa mlimaanisha Nini Ndio mnijibu na ole wake majibu yenu yatofautiane

Swali ni hili

IPI ni sentence sahihi kati ya hizi 2 za Kingereza

1.I am sorry for him having spent life uselessly.

2.I am sorry for his having spent life uselessly

Haya karibuni sana wazungu wa Kibongo!
 
Hii inawahusu wale tuliokuwa tunawaita wa kishua enzi zile

20131105_--53.jpg.450x0_q85.jpg


Wale wa St Kayumba wenzangu tulieni kama tulivyokuwa tunatulia shule zisizo na walimu wakati wa debate

Wale ambao wakati me nipo shule ya msingi Minazi Mirefu nyie mlikuwa mnasoma Olympio,Diamond,Heritage au tusiime na zinazofanana na hizo Ndio nawataka mnijibu hapa

10671399_588319254613851_5615997445119658005_n.jpg


Nataka nyie mliokuwa mnasoma wanafunzi 45 dasarani kila mtu kiti na meza yake wakati sisi darasan tulikuwa 120 ukiongeza na Mwl tulikuwa 121 ndio mnijibu.

Hili swali nataka mjibu nyie mliokuwa mnavaa uniform za rangi rangi wakati sisi tulipovaa rangi mbili tu ambazo ni blue (chini) na nyeupe (juu) ndio mjibu.

Najua mpo humu wale ambao uji wa maziwa mlikuwa mnakunywa shule,Ndio nawataka mnijibu hapa.

Nataka swali hili lijibiwe na nyinyi mliokuwa waongeaji kwenye debate tulipokutana sec tukawa tunawashangilia bila kuelewa mlimaanisha Nini Ndio mnijibu na ole wake majibu yenu yatofautiane

Swali ni hili

IPI ni sentence sahihi kati ya hizi 2 za Kingereza

1.I am sorry for him having spent life uselessly.

2.I am sorry for his having spent life uselessly

Haya karibuni sana wazungu wa Kibongo!
No 1 ni correct!
 
Hii inawahusu wale tuliokuwa tunawaita wa kishua enzi zile

20131105_--53.jpg.450x0_q85.jpg


Wale wa St Kayumba wenzangu tulieni kama tulivyokuwa tunatulia shule zisizo na walimu wakati wa debate

Wale ambao wakati me nipo shule ya msingi Minazi Mirefu nyie mlikuwa mnasoma Olympio,Diamond,Heritage au tusiime na zinazofanana na hizo Ndio nawataka mnijibu hapa

10671399_588319254613851_5615997445119658005_n.jpg


Nataka nyie mliokuwa mnasoma wanafunzi 45 dasarani kila mtu kiti na meza yake wakati sisi darasan tulikuwa 120 ukiongeza na Mwl tulikuwa 121 ndio mnijibu.

Hili swali nataka mjibu nyie mliokuwa mnavaa uniform za rangi rangi wakati sisi tulipovaa rangi mbili tu ambazo ni blue (chini) na nyeupe (juu) ndio mjibu.

Najua mpo humu wale ambao uji wa maziwa mlikuwa mnakunywa shule,Ndio nawataka mnijibu hapa.

Nataka swali hili lijibiwe na nyinyi mliokuwa waongeaji kwenye debate tulipokutana sec tukawa tunawashangilia bila kuelewa mlimaanisha Nini Ndio mnijibu na ole wake majibu yenu yatofautiane

Swali ni hili

IPI ni sentence sahihi kati ya hizi 2 za Kingereza

1.I am sorry for him having spent life uselessly.

2.I am sorry for his having spent life uselessly

Haya karibuni sana wazungu wa Kibongo!
Na maana yake ni: "Namsikitikia kwa kutokuyatumia vema/vizuri maisha yake". Huyu anayezungumziwa ni wa jinsia ya kiume.
 
Back
Top Bottom