Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Hii inawahusu wale tuliokuwa tunawaita wa kishua enzi zile
Wale wa St Kayumba wenzangu tulieni kama tulivyokuwa tunatulia shule zisizo na walimu wakati wa debate
Wale ambao wakati me nipo shule ya msingi Minazi Mirefu nyie mlikuwa mnasoma Olympio,Diamond,Heritage au tusiime na zinazofanana na hizo Ndio nawataka mnijibu hapa
Nataka nyie mliokuwa mnasoma wanafunzi 45 dasarani kila mtu kiti na meza yake wakati sisi darasan tulikuwa 120 ukiongeza na Mwl tulikuwa 121 ndio mnijibu.
Hili swali nataka mjibu nyie mliokuwa mnavaa uniform za rangi rangi wakati sisi tulipovaa rangi mbili tu ambazo ni blue (chini) na nyeupe (juu) ndio mjibu.
Najua mpo humu wale ambao uji wa maziwa mlikuwa mnakunywa shule,Ndio nawataka mnijibu hapa.
Nyie ambao mnadhani madumu ya mafuta ya korie hayawezi kutumika kubeba mji kupeleka shule ndio mnijibu hili swali.
Nyie ambao hamjawahi kuwasalimia walimu kwa kuweka kidole gumba juu ya kichwa na vidole vingine vikiwa vimenyooshwa wakati wa kumsalimia mwalimu ndio mnijibu
Nyie ambao kingereza kwenu ilikuwa sio tatizo ila tatizo kubwa ni hesabu ndio nahitaji majibu yenu hapa leo hii
Nyie ambao hamkuwahi kupanda daladala na mbolea kupeleka shule ndio mnijibu hili na msikose tafadhali
Nataka swali hili lijibiwe na nyinyi mliokuwa waongeaji kwenye debate tulipokutana sec tukawa tunawashangilia bila kuelewa mlimaanisha Nini Ndio mnijibu na ole wake majibu yenu yatofautiane
Swali ni hili
IPI ni sentence sahihi kati ya hizi 2 za Kingereza
1.I am sorry for him having spent life uselessly.
2.I am sorry for his having spent life uselessly
Haya karibuni sana wazungu wa Kibongo!
Wale wa St Kayumba wenzangu tulieni kama tulivyokuwa tunatulia shule zisizo na walimu wakati wa debate
Wale ambao wakati me nipo shule ya msingi Minazi Mirefu nyie mlikuwa mnasoma Olympio,Diamond,Heritage au tusiime na zinazofanana na hizo Ndio nawataka mnijibu hapa
Nataka nyie mliokuwa mnasoma wanafunzi 45 dasarani kila mtu kiti na meza yake wakati sisi darasan tulikuwa 120 ukiongeza na Mwl tulikuwa 121 ndio mnijibu.
Hili swali nataka mjibu nyie mliokuwa mnavaa uniform za rangi rangi wakati sisi tulipovaa rangi mbili tu ambazo ni blue (chini) na nyeupe (juu) ndio mjibu.
Najua mpo humu wale ambao uji wa maziwa mlikuwa mnakunywa shule,Ndio nawataka mnijibu hapa.
Nyie ambao mnadhani madumu ya mafuta ya korie hayawezi kutumika kubeba mji kupeleka shule ndio mnijibu hili swali.
Nyie ambao hamjawahi kuwasalimia walimu kwa kuweka kidole gumba juu ya kichwa na vidole vingine vikiwa vimenyooshwa wakati wa kumsalimia mwalimu ndio mnijibu
Nyie ambao kingereza kwenu ilikuwa sio tatizo ila tatizo kubwa ni hesabu ndio nahitaji majibu yenu hapa leo hii
Nyie ambao hamkuwahi kupanda daladala na mbolea kupeleka shule ndio mnijibu hili na msikose tafadhali
Nataka swali hili lijibiwe na nyinyi mliokuwa waongeaji kwenye debate tulipokutana sec tukawa tunawashangilia bila kuelewa mlimaanisha Nini Ndio mnijibu na ole wake majibu yenu yatofautiane
Swali ni hili
IPI ni sentence sahihi kati ya hizi 2 za Kingereza
1.I am sorry for him having spent life uselessly.
2.I am sorry for his having spent life uselessly
Haya karibuni sana wazungu wa Kibongo!