Recent content by kalandaguro

  1. K

    Ukweli kuhusu habari za Afisa wa Polisi aliyedaiwa kutelekeza familia

    umesema walikuwa hawajagunga ndoa mahakama inauwezo wa kuvunja ndoa ambayo haijafungwa? under presumption of marriage spouse anauwezo wa kuomba talaka?
  2. K

    Mwanajeshi kizimbani: Kapteni wa JWTZ apandishwa kizimbani kwa kosa la kutaka kuua

    Kesi haziendeshi kwa hisia,kuna sheria na taratibu Ushahidi kwa kosa analotuhumiwa nalo ndo utadhibitisha kosa ilo sio kuongea tu kuwa alitaka kuua
  3. K

    Law course

    kinachosoma ni EEE? hujawahi kuona mtu division one anaenda chuo ana disco au kutoka na pass wakati wa division three akitoka na upper second or first class, Tatizo ni kukariri bila kujiongeza
  4. K

    Je huyu jamaa atashitakiwa kwa kesi gani?

    Hiyo ni manslaughter case,kwanza elewa unapojenga kesi ya mauaji lazima kuwe na Actus reus and men's rea, huwezi ukashtaki MTU kwa kesi ya mauaji kama hamna MTU aliyekufa, na katika kudhibitisha uwa inaangaliwa zaidi Nia hovu ya kutenda kosa. Kwa senerio hiyo nia yake ilikuwa ni huyo mama si...
Back
Top Bottom