umesema walikuwa hawajagunga ndoa mahakama inauwezo wa kuvunja ndoa ambayo haijafungwa?
under presumption of marriage spouse anauwezo wa kuomba talaka?
kinachosoma ni EEE? hujawahi kuona mtu division one anaenda chuo ana disco au kutoka na pass wakati wa division three akitoka na upper second or first class,
Tatizo ni kukariri bila kujiongeza
Hiyo ni manslaughter case,kwanza elewa unapojenga kesi ya mauaji lazima kuwe na Actus reus and men's rea, huwezi ukashtaki MTU kwa kesi ya mauaji kama hamna MTU aliyekufa, na katika kudhibitisha uwa inaangaliwa zaidi Nia hovu ya kutenda kosa.
Kwa senerio hiyo nia yake ilikuwa ni huyo mama si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.